ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

Status
Not open for further replies.
Hivi kurusha tangazo tu kwenye ITV kwa dk ni tsh? Vile
 
Goodmorning Makamanda!

Kesho kuanzia majira ya saa 10 jioni kituo cha Taifa cha ITV kitarusha live mkutano mkubwa wa CHADEMA utakofanyika kawe.

Viongozi mbalimbali wa kitaifa watakuwepo, Kamanda wa Anga Freeman Mbowe, Halima Mdeee pamoja viongozi wengine wakuu wa chama.

Ukipata taarifa hii usisite kumjulisha na mwenzako.

Siyakukosa....!!!!!!🚩🚩
 
Mie nina wasiwasi na hawa polisiccm wanaweza kabisa kuvuruga au kutoruhusu mkutano huu.
 
Nilisikia tangazo jana nikachanganya tarehe, nilijua ni leo bwana nikamkataza wife kubali channel, kumbe ni kesho
 
imewauma walivyo wajinga wataacha kujadili taarifa watajadili hapa.Sijui kwa sababu ni ni ndugu yao hivi mna hisa au???
TBC ndio tv ya TAIFA na lazima mwaka huu ikifika saa mbili kujiunga taarifa ya habari TBC baada ya hapo ndo mtaonesha habari zenu za kujitangaza .
tunasubibi mkutano
viva UKAWA
mkuu kwa sifa ipi tbc iitwe tv ya Taifa?au na wewe umekubali ulaghai wa viongozi wa ccm na serikali Yao?
 
Akili zako nahisi zinaupungufu kwani kujua matumizi ya chama ni kosa?
kama wewe ni mwana chama wa chadema subiri vikao ukaulize swali lako Hapa si mahali pake na kama si mwana chama basi wewe ni mmbeya sana wambeya wengine tu
 
kama wewe ni mwana chama wa chadema subiri vikao ukaulize swali lako Hapa si mahali pake na kama si mwana chama basi wewe ni mmbeya sana wambeya wengine tu

Kwa hiyo chadema inawanachama tu haina wapenzi wala washabiki? Pole sana ndugu yangu kwa uelewa wako
 
Nilisikia tangazo jana nikachanganya tarehe, nilijua ni leo bwana nikamkataza wife kubali channel, kumbe ni kesho

Kumbe na wewe ni dikteta kama mwenyekiti wenu wa Chama...!!? Angalia tu siku ya kupiga kura usifiche kitambulisho chake cha kupigia kura...
 
sijui ni chama gani duniani kinawahusu watu wote waliomo kwenye nchi.hii nadhani ni mpya ya 2016

Inaonekana wewe una hati miliki ya hicho chama hutaki hata waliopembeni wasogee?
 
ngoja nikanunue kisimbuzi kingine maana hawa startimes najua lazima ITV itakuwa inascratch..

Hiki cha kwangu itv imekata tangu juzi na siyo kuklata tu wameiondoa kabisa kwenye channei list haipo sijui tatizo ni nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom