ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

Status
Not open for further replies.
ningefurahi sana sana endapo tbc1 wangerusha live mkutano huu / mengi sana yangetokea likiwamo la mkurugenzi kufukuzwa kazi Mara moja
 
Goodmorning Makamanda!

Kesho kuanzia majira ya saa 10 jioni kituo cha Taifa cha ITV kitarusha live mkutano mkubwa wa CHADEMA utakofanyika kawe.

Viongozi mbalimbali wa kitaifa watakuwepo, Kamanda wa Anga Freeman Mbowe, Halima Mdeee pamoja viongozi wengine wakuu wa chama.

Ukipata taarifa hii usisite kumjulisha na mwenzako.

Mods please.

Waweja sana tupo pamoja mdau.
 
Nahisi muda huo kesho umeme utahujumiwa maeneo mengi nchini.
 
Nimeona OB VAN ya TBC ni nzuri na ya kisasa,Je kuna wataalam wa kuvitumia vifaa hivyo.kama wapo wanalipwa vizuri.Tbc wanao uwezo wa kuweka mafuta kwenye hiyo OB VAN....Wanazo ngapi...Ile tv ya morogoro wanazozaidi ya tatu ambazo ni most modern tuliziona uwanja wa taifa na zina umeme wake mkubwa tu.
 
Kamanda mmelipa kiasi gani ITV maana mkutano wa ACT - Wazalendo mlikuwa mnataka kujua gharama sasa zamu yenu.

Vyanzo vya mapato vya Chadema viko wazi hata CAG anajua, tatizo la wale jamaa vyanzo havijulikani na kwa chama cha siasa hiyo ni hatari sana
 
Kamanda mmelipa kiasi gani ITV maana mkutano wa ACT - Wazalendo mlikuwa mnataka kujua gharama sasa zamu yenu.

Mkuu chama chetu ni kikubwa sana hakiwezi kukosa fedha ya kulipa gharama,
 
Hilo nalijua kamanda tulikuwa tunaulizia mmelipa kiasi gani ITV ni hayo tu.

Mkuu kuhusu gharama tembelea ofisi za chama pale ufipa utapewa na risiti kabisa.
 
Goodmorning Makamanda!

Kesho kuanzia majira ya saa 10 jioni kituo cha Taifa cha ITV kitarusha live mkutano mkubwa wa CHADEMA utakofanyika kawe.

Viongozi mbalimbali wa kitaifa watakuwepo, Kamanda wa Anga Freeman Mbowe, Halima Mdeee pamoja viongozi wengine wakuu wa chama.

Ukipata taarifa hii usisite kumjulisha na mwenzako.

Mods please.
Asante kamanda kwa taarifa safi.
 
Duhh noma sanaaa vp TBC watarusha ya ccm au ...updates jamami naungoja mkutano mkuu wa CCM kwa hamu.sana
 
Asante kwa taarifa mkuu.VOTE FOR CHADEMA.
 
Nitakuwa makini kusikiliza madini toka kwa wazalendo was nchi hii.Ukombozi upo mlangoni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom