Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,246
Jamani NATAFUTA JIKO LA UMEME NA GAS PLATE MBILI KWA BEI NAFUU
NAMBA 0757796706/0682916351
Mkuu bei nafuu ni kama sh,ngapi?
Jamani NATAFUTA JIKO LA UMEME NA GAS PLATE MBILI KWA BEI NAFUU
NAMBA 0757796706/0682916351
Mbowe badala ya kukaa bungeni kupitisha bajeti anazurura tu hovyo, bunge lisitishe kuwalipa mafao yao,
Asante kwa taarifa ila ITV sio kituo cha Taifa
Mkuu bei nafuu ni kama sh,ngapi?
Mbowe badala ya kukaa bungeni kupitisha bajeti anazurura tu hovyo, bunge lisitishe kuwalipa mafao yao,
kalale wewe.....sisi ndiyo tunakuambia ITV ni television ya taifa.
peleka huko nanii yenu ile ya pale jirani
Mkuu chama chetu ni kikubwa sana hakiwezi kukosa fedha ya kulipa gharama,
Hivi unaelewa Ulichokiandika auHii tv nijanga la taifa kwa mustakabali wa taifa letu tv kama hii hatuitaji ni hatari kwa raia wetu
Lazima tujena sheria ya kuzi control hizi tv uchwaro kama hii itv ni janga kwanza lile eneo lamichezo ya watoto itabidi Mengi arudishe kwa manispaa ya kiondoni
Tutaheshimiana mkianza kujiunga saa mbili usiku
ni cha kimataifa eeh!
Asante mkuu kwa taarifa,kesho mapemaa nipo uwanjani kuwasikiliza viongozi wa nchi,nitakuwa mstari wa mbele nimulikwe na television ya Taifa ITV
Weka tarehe mkuu! Ukisema kesho haielezi vizuri ni lini iwapo thread hii itakaa siku mbili tatu hapa JF.Goodmorning Makamanda!
Kesho kuanzia majira ya saa 10 jioni kituo cha Taifa cha ITV kitarusha live mkutano mkubwa wa CHADEMA utakofanyika kawe.
Viongozi mbalimbali wa kitaifa watakuwepo, Kamanda wa Anga Freeman Mbowe, Halima Mdeee pamoja viongozi wengine wakuu wa chama.
Ukipata taarifa hii usisite kumjulisha na mwenzako.
Goodmorning Makamanda!
Kesho kuanzia majira ya saa 10 jioni kituo cha Taifa cha ITV kitarusha live mkutano mkubwa wa CHADEMA utakofanyika kawe.
Viongozi mbalimbali wa kitaifa watakuwepo, Kamanda wa Anga Freeman Mbowe, Halima Mdeee pamoja viongozi wengine wakuu wa chama.
Ukipata taarifa hii usisite kumjulisha na mwenzako.
Asante mkuu kwa taarifa,kesho mapemaa nipo uwanjani kuwasikiliza viongozi wa nchi,nitakuwa mstari wa mbele nimulikwe na television ya Taifa ITV
Kila mtu anajua chama kinaweza kulipa tunachotaka kujua chama kimelipa fedha kiasi gani?