Na mwaka huu tukiwakosa hawa ccm, itatuchukua nusu karne kumpata mgombea mwenye nguvu kama LOWASA. Jana nilikuwa na gamba moja tena lile kindakindaki hasa linasema bwana mwaka huu tumeshikwa, ila tunajifaragua tu, ila hali ni mbaya kuliko maelezo. Tuombe mungu.
Kwani huo mkutano unanini cha zaidi maana mgombea mwenyewe wa ukawa anaongea kidogo tu!!! Au kwa ajili ya kuangalia wingi wa watu walohudhuria? Maana thread nyingi zimeanzishwa kuutangaza mkutano huo!!! Maana kumbuka kuwa WINGI SI HOJA!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.