georgerweba
Member
- Sep 25, 2010
- 12
- 2
Ni miezi mitatu tangu ITV/RADIO ONE watoe matangazo kwamba hawatakuwepo hewani kwa muda mfupi,lakini cha ajabu ni kwamba mpaka sasa hawajarudisha matangazo yao, ajabu zaidi nikua tulikua tunawapata kwenye dish lakini ilifika wakati matangazo yao yakapotea pia.Jambo linalosikitisha nikua hatujawasikia wahusika wakuu wa ITV/RADIO ONE wakizungumzia swala hili