ITV kuna ubaguzi kwenye utoaji habari?

ITV kuna ubaguzi kwenye utoaji habari?

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,553
Kuanzishwa kwa Azam na ufunguzi wa studio mpya itakuwa ni raha kwangu baada ya kuishia kulalama sana ITV huku wakiweka pamba masikioni, suala la kuibagua mikoa flani kwenye habari zao na kuibeba mingine kila leo halivumiliki, sielewi ni mmiliki ama ni uongozi lakini mnafanya ubaguzi wa wazi mno.

Haiwezekani habari husika mkoa Fulani haioneshwi makusudi zaidi ya Mara kadhaa wakati tayari inatokea pale chini ya kioo kwa habari ya Sikh hiyo, ni ubaguzi. Kutwa Isidingo na movie?

Angalieni wenyewe kama hamuwezi kutengeneza vipindi vya kijamii kaeni na Wafilipino wenu..
 
"Ndg Mushi wa kilaracha anasikitika kutangasa kifo ndg Macha wa Rombo, habari ziwafikie, Chuwa, Tarimo, Shayo, Lema, Aikaeli, Manka, Kekuu, Haika, na Mareale wote wanapatikana Kilimanjaro na Arusha" na ndg walioko Kimara bucha dsm.

Hahaaaaa
 
peleka malamiko yako MCT huku ukiwa na viambatanisho vya ku-support malalamiko yako.
 
"Ndg Mushi wa kilaracha anasikitika kutangasa kifo ndg Macha wa Rombo, habari ziwafikie, Chuwa, Tarimo, Shayo, Lema, Aikaeli, Manka, Kekuu, Haika, na Mareale wote wanapatikana Kilimanjaro na Arusha" na ndg walioko Kimara bucha dsm.

Huo ni utashi wa mfiwa kwasababu matangazo ya vifo hupelekwa na wafiwa kwa gharama zao cyo bure. Yangekuwa yanasomwa kwenye taarifa ya habari ungesema yanakusanywa kibaguzi kwani taarifa ya habari hailipiwi. Watu wa kilimanjaro na Arusha hususani wachaga wana utamaduni wa kutangaza vifo redioni sana huwezi linganisha na wamakonde au wakurya....

Mtoa mada ni mkazi wa mkoa gani hapa Tanzania ambapo habari zenu hazifiki kwenye luninga?
 
Huo ni utashi wa mfiwa kwasababu matangazo ya vifo hupelekwa na wafiwa kwa gharama zao cyo bure. Yangekuwa yanasomwa kwenye taarifa ya habari ungesema yanakusanywa kibaguzi kwani taarifa ya habari hailipiwi. Watu wa kilimanjaro na Arusha hususani wachaga wana utamaduni wa kutangaza vifo redioni sana huwezi linganisha na wamakonde au wakurya....

Mtoa mada ni mkazi wa mkoa gani hapa Tanzania ambapo habari zenu hazifiki kwenye luninga?

Tangu nizaliwe, sijaskia tangazo la kifo kutoka kwa mtu asiye na asili ya Moshi/Arusha/Manyara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom