Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,272
Kivipi? Kwani aliyetuma ujumbe ni Mengi? Aliyefyatua bomu la uvunjifu wa amani ni Pinda. Jana si umeona polisi jinsi walivyokuwa wakiwapiga raia na waandishi wa habari bila kosa? Siku na wewe wakikutandika ndipo utaona ubaya wa hao polisi pamoja na kauli ovu kabisa ya huyo ambaye baadaye alijulikana kama m-pu-mba-vu!tatizo la mengi anataka nchi hii wote tuwe chini yake pamoja na serikali mpaka rais awe anashauriwa nayeye