ITV kituo kitafungwa au mtaingiza Nchi katika machafuko

ITV kituo kitafungwa au mtaingiza Nchi katika machafuko

Kweli mahaba taabu. Mtu mzima unajisemea maneno ka ch.oo? Kifungwe kimesema nini?? Kituo huwa hakisemi, watu ndo wamesema. Hata kama hamtatangaza, elewa kuwa watu sasa wamechokaaaaa. Chokochoko mtafanya, mtaua, mtapiga na kulemaza lakini, nia ya moyo haifutwi kwa mtutu, kabla hamjaharibu zaidi, leteni maelewano. Kura humaliza mambo yoote.

Jaribu kutumia akili.
 
Wachaga washapanga mipango ya kuichukua nchi,ebu tuusome mchezo kama kwel wanaweza ishinda TZ
 
Waandishi MLITAKIWA KUJIPANGA KISHA MPATE MAELEKEZO KWA WAHUSIKA.
PINDI MKIFIKA HAPO MKAE WAPI ILI KUSUBIRI KUPEWA TAARIFA YA KILICHOJIRI.
MSIWE MNAJIPELEKA MNAVYOTAKA TU, SABABU ETI MWANA HABARI.
UTARATIBU HURATIBIWA.
KUKIMBILIA NANI KASEMA NN NA NANI KAJIBU NN, MUHUSIKA KAFIKA ANACHEKA KAONDOKA ANACHEKA. NYINYI MNALIA, POLE SANAAA.
JITAMBUENI KTK KAZI YENU

SHITMAN siungi mkono maoni yako. Weww hujui abc za uandishi kaa kimya
 
Acha uchochezi ww, ulitaka asome comment gani? polisi waache ujinga, wanapiga watu hovyo, wanashirikiana na wahalifu, ukipeleka tatizo lako polisi wanataka hela, Leo polisi wamepiga mwandishi wa habari wa ITV, walimuua Mwangosi, ulitaka ITV watoke na matarumbeta barabarani kuwapongeza polisi Kwa kupiga na kuonea watu .

Ivi unapotetea kwamba 'MAPOLISI WAPIGWE' wakati sasaivi wewe upo ndani familia yako wao wapo nje wanafanya doria kukulinda, TUKUELEWEJE.??

Alikua na uwezo wa kutoisoma hyo msg.
 
Very shallow,hujui wewe. Jeuri inayofanya CCM Dodoma ndio itakayo ingiza nchi kwenye machafuko.
 
Usipende kutukana mjuzi huelimisha. M/kiti amekuwa akifurahi wewe boss umekasirika. Poleeee
 
Ivi unapotetea kwamba 'MAPOLISI WAPIGWE' wakati sasaivi wewe upo ndani familia yako wao wapo nje wanafanya doria kukulinda, TUKUELEWEJE.??

Alikua na uwezo wa kutoisoma hyo msg.

We Mwehu Nini Wanamlinda Nani? Mimi Najilinda Mwenyewe Silindwi Na Polisi. We Wa Wapi Wewe?
 
Polisi wamefanya vizuri,waislamu walilalamika masheikh wanalawitiwa mkakejeli.sasa kila mtu analalamika .
 
wapigwe tuu maana serikali imechoka sasa













TIME WILL TELL
 
HATARI.,.

Akisoma maoni ya kipima joto 'JE WANANCHI WANAOVAMIA WATU WA USALAMA(MAPOLISI) NA KUWAPIGA WANAELEWA HATARI YAKE.?'

Msomaji wa habari akasoma ujumbe wa Raia mmoja aliesema ''WAPIGWE TU, MBONA WAO WANATUPIGA''

hii ni hatari kwa Taifa hasa kipindi hiki tunapoelekea 2015.

Ikumbukwe KENYA ni kauli chafu kama hizi kwa baadhi ya vyombo vya habari viliingiza ktk machafuko.

TAFADHALINI ITV MSITUINGIZE KTK MAJANGA. HARIRINI JUMBE KABLA YA KUZISOMA.

MSG SENT.

kaiambia itv nayo iitwe ikahojiwe
 
Huyu mleta mada ni coward na mnafiki. Pinda kasema live wapigwe tu. Na sisi tukiwaotea wapigwe tu
 
Mengi anawatumia UKAWA katika vita yake binafsi na Profesa Muhongo!
 
HATARI.,.

Akisoma maoni ya kipima joto 'JE WANANCHI WANAOVAMIA WATU WA USALAMA(MAPOLISI) NA KUWAPIGA WANAELEWA HATARI YAKE.?'

Msomaji wa habari akasoma ujumbe wa Raia mmoja aliesema ''WAPIGWE TU, MBONA WAO WANATUPIGA''

hii ni hatari kwa Taifa hasa kipindi hiki tunapoelekea 2015.

Ikumbukwe KENYA ni kauli chafu kama hizi kwa baadhi ya vyombo vya habari viliingiza ktk machafuko.

TAFADHALINI ITV MSITUINGIZE KTK MAJANGA. HARIRINI JUMBE KABLA YA KUZISOMA.

MSG SENT.

Mkivaa hizi uniforms mnakuwaga wa ajabu sana, mnajisahau kwamba mnaishi na watu huko mitaani! Pigeni waandishi, pigeni raiya wasio na hatia uweni wananchi, lakini kumbukeni kwamba waandishi wa habari wana siraha nzito kuzidi hizo bunduki zenu, wanao uwezo wa kupandisha munkari wa raiya kuzidi hayo mabomu ya gesi mnayovaa tumboni! Hii ndiyo customer care mnayofundishwa?!
10698558_288568457994844_4873626672174112070_n.jpg
 

Attachments

  • IMG-20140702-WA0011_thumb[3].jpg
    IMG-20140702-WA0011_thumb[3].jpg
    41.4 KB · Views: 215
Ivi unapotetea kwamba 'MAPOLISI WAPIGWE' wakati sasaivi wewe upo ndani familia yako wao wapo nje wanafanya doria kukulinda, TUKUELEWEJE.??

Alikua na uwezo wa kutoisoma hyo msg.

Wao kuwa nje wakati wa usiku hakuwapi uhalali wa wao kuonea watu, wewe huwafahamu polisi eti? kwanza hufika eneo la tukio majambazi wakishaondika, wanabambikia watu kesi,
 
Back
Top Bottom