ITV kituo kitafungwa au mtaingiza Nchi katika machafuko

ITV kituo kitafungwa au mtaingiza Nchi katika machafuko

Unapaswa kuelewa kuwa hayo ni maoni ya wananchi na si msimamo wa ITV.Ulitaka maoni yawe ya aina gani? Je unamshauri mtangazaji achakachue maoni ya wananchi kama inavyo fanyika sasa Dodoma?
 
Tuishie kuandika humu ndani tu ila,acheni upumbavu waandishi.
Hivi unapozuiwa kiingia sehemu kwa matakwa ya mwenyeji wako halafu ukalazimisha unaaka akufanyaje!!!?
 
Ndg jaribu kuishirikisha akili uweke ushabiki pembeni. Kazi ya mhariri ni nini.

Ivi unafikiri kwa huo ujumbe kusomwa na mtangazaji mapolisi wameuchukuliaje.?

Binti, hii nidhamu ya woga umetoa wapi? Polisi si binadamu tu kama sisi? Sasa wakiwa wanatunyima haki zetu wakati wamewekwa kutulinda na kulinda haki zetu wasiambiwe?
Aisee ila utakua mke mzuri sana maana unaonekana una umnyenyekevu na mwoga wa asili, ukiwekwa ndani hufurukuti kabisa kama miwanawake mingine ya siku hizi inayotupa tabu.
Hongera kwa wazazi wako na bahati kwa mumeo.
 
Tuishie kuandika humu ndani tu ila,acheni upumbavu waandishi.
Hivi unapozuiwa kiingia sehemu kwa matakwa ya mwenyeji wako halafu ukalazimisha unaaka akufanyaje!!!?

Bunge lina mwenyeji? Unajua kwanini linaitwa Bunge la Wananchi wa JMT?
 
dah...sasa ndiyo mawazo ya watanzania yeye afanyaje au aseme uongo kama wafanyavyo tbc
 
HATARI.,.

Akisoma maoni ya kipima joto 'JE WANANCHI WANAOVAMIA WATU WA USALAMA(MAPOLISI) NA KUWAPIGA WANAELEWA HATARI YAKE.?'

Msomaji wa habari akasoma ujumbe wa Raia mmoja aliesema ''WAPIGWE TU, MBONA WAO WANATUPIGA''

hii ni hatari kwa Taifa hasa kipindi hiki tunapoelekea 2015.

Ikumbukwe KENYA ni kauli chafu kama hizi kwa baadhi ya vyombo vya habari viliingiza ktk machafuko.

TAFADHALINI ITV MSITUINGIZE KTK MAJANGA. HARIRINI JUMBE KABLA YA KUZISOMA.

MSG SENT.
washkaji wanatuonea sana,halafu hawachukuliwi hatua zaidi ya kuhamishwa vituo. nikisikia polisi kadundwa huwa nafurahi kweli
kwenye ile harakati za kusaka majangili, watu wengi wasiohusika wamekufa, wamevunja miguu...enough is enough
 
its easier to trace some of the guys here we have seen it and no one can keep quite ...lugha chafu humu zitawatoka puani kwanza kwa sasa wanahitajika watu wa kutolea mfano kuhusu matumizi mabaya ya mtandao
Chadema chademaa peoples powerrrr tweeende kamaaandaaaa
 
vyombo vya ulinzi lazima viheshimiwe hii jeuri wajinga wataumia mtapigwa sana na mtabaki vilema awamu hii kipigo kianzie kwa viongozi wakuu wa maandamano kama iliyotokea kwa Lipumba kupindi cha Mkapa...kwa sababu huu uchochezi unaofanywa una hatarisha amani na shughuli zetu mbalimbali kwa ujumli uchumi wa wajasiriamali utayumba
Mmeshindwa kuzuia migogoro ya wakulima wafugaji,ujangili mnafuata wanaharakati
 
HATARI.,.

Akisoma maoni ya kipima joto 'JE WANANCHI WANAOVAMIA WATU WA USALAMA(MAPOLISI) NA KUWAPIGA WANAELEWA HATARI YAKE.?'

Msomaji wa habari akasoma ujumbe wa Raia mmoja aliesema ''WAPIGWE TU, MBONA WAO WANATUPIGA''

hii ni hatari kwa Taifa hasa kipindi hiki tunapoelekea 2015.

Ikumbukwe KENYA ni kauli chafu kama hizi kwa baadhi ya vyombo vya habari viliingiza ktk machafuko.

TAFADHALINI ITV MSITUINGIZE KTK MAJANGA. HARIRINI JUMBE KABLA YA KUZISOMA.

MSG SENT.

Uongozi mzuri ni ule unaoruhusu maoni ya wananchi ili ujue watu wanawaza nini na kuyafanyia kazi, sio vizuri kuzuia watu kutoa maoni, siku wakilipuka hutajua cha kufanya maana utakuwa hujajipanga, wakitoa maoni wanakusaidia kuona mwelekeo na kujipanga vizuri.
 
sawa ni kweli lakini hizo njia hawa hawataki ..ndani ya mioyo yao wanachotaka ni fujo tu na sio kingine ndo maana hawataki kwenda kwenye vyombo vya sheria

Mtu mwenye nia ovu kumchota na kumuanika sio kazi kubwa sana!!!!
Dawa ni kufanya hivyo ili "nia" hiyo ijitokeze ili kuondokana na dhana!!!!
 
HATARI.,.

Akisoma maoni ya kipima joto 'JE WANANCHI WANAOVAMIA WATU WA USALAMA(MAPOLISI) NA KUWAPIGA WANAELEWA HATARI YAKE.?'

Msomaji wa habari akasoma ujumbe wa Raia mmoja aliesema ''WAPIGWE TU, MBONA WAO WANATUPIGA''

hii ni hatari kwa Taifa hasa kipindi hiki tunapoelekea 2015.

Ikumbukwe KENYA ni kauli chafu kama hizi kwa baadhi ya vyombo vya habari viliingiza ktk machafuko.

TAFADHALINI ITV MSITUINGIZE KTK MAJANGA. HARIRINI JUMBE KABLA YA KUZISOMA.

MSG SENT.

Hivi wewe akili zako ziko sehemu gani ya mwili wako. Hayo siyo maoni ya ITV bali ni maoni ya mtazamaji/mtu binafsi. Na kikatiba ibara ya 18 anayo haki ya kutoa maoni yake. Kama ulikimbia umande hebu rudi darasani fasta.
 
Muombe radhi Mengi kwa kilukishtumu chombo chake cha habari pasipo sababu za msingi..je ulitaka wafiche fiche mambo kama TBC???
 
Back
Top Bottom