fikirakali
Member
- Sep 15, 2014
- 15
- 18
Umekosa cha kuandika nn? We ndio ukaribisha machafuko acha mambo hayo
HATARI.,.
Akisoma maoni ya kipima joto 'JE WANANCHI WANAOVAMIA WATU WA USALAMA(MAPOLISI) NA KUWAPIGA WANAELEWA HATARI YAKE.?'
Msomaji wa habari akasoma ujumbe wa Raia mmoja aliesema ''WAPIGWE TU, MBONA WAO WANATUPIGA''
hii ni hatari kwa Taifa hasa kipindi hiki tunapoelekea 2015.
Ikumbukwe KENYA ni kauli chafu kama hizi kwa baadhi ya vyombo vya habari viliingiza ktk machafuko.
TAFADHALINI ITV MSITUINGIZE KTK MAJANGA. HARIRINI JUMBE KABLA YA KUZISOMA.
MSG SENT.
Watu wadilifu wapo, ila hawatapewa nafasi NYETI kwasababu wataleta kiwingu kwenye ulaji wa wakubwa ambao hula bila kushiba.
Wasio waoga wapo, ila wakipewa nafasi hawataacha kutolewa kafara kwasabau wasipofungwa mdomo watatoa siri za mabosi
Serikali ya sisiem ina tendency ya kuwabadili watu, wengine wakishapewa madaraka wanaangalia uzito uko wapi, ikiwa uadilifu utawaangamiza wanaamua aidha kunyamazia maovu au kuishi kama waroma..ndio Tz yetu ilivyo
Mbona Pinda alishasemaga wapigwe mkuu?
Unapingana na kauli ya Mh wewe?
!
!
polisi ni viumbe ambavyo havistahili kuishi.....wauwawe kwa wingi. Siwapendi hawa watu, Mungu anisamehe. Wafe vifu vya tabu mno ndio dua langu usiku na mchana.
HATARI.,.
Akisoma maoni ya kipima joto 'JE WANANCHI WANAOVAMIA WATU WA USALAMA(MAPOLISI) NA KUWAPIGA WANAELEWA HATARI YAKE.?'
Msomaji wa habari akasoma ujumbe wa Raia mmoja aliesema ''WAPIGWE TU, MBONA WAO WANATUPIGA''
hii ni hatari kwa Taifa hasa kipindi hiki tunapoelekea 2015.
Ikumbukwe KENYA ni kauli chafu kama hizi kwa baadhi ya vyombo vya habari viliingiza ktk machafuko.
TAFADHALINI ITV MSITUINGIZE KTK MAJANGA. HARIRINI JUMBE KABLA YA KUZISOMA.
MSG SENT.
HATARI.,.
Akisoma maoni ya kipima joto 'JE WANANCHI WANAOVAMIA WATU WA USALAMA(MAPOLISI) NA KUWAPIGA WANAELEWA HATARI YAKE.?'
Msomaji wa habari akasoma ujumbe wa Raia mmoja aliesema ''WAPIGWE TU, MBONA WAO WANATUPIGA''
hii ni hatari kwa Taifa hasa kipindi hiki tunapoelekea 2015.
Ikumbukwe KENYA ni kauli chafu kama hizi kwa baadhi ya vyombo vya habari viliingiza ktk machafuko.
TAFADHALINI ITV MSITUINGIZE KTK MAJANGA. HARIRINI JUMBE KABLA YA KUZISOMA.
MSG SENT.