Wapo vizuri. Leo asbh hii, nimemwona Abdalla Mwaipaya na mtaalamu wa kilimo cha papai. Imependeza. Kubwa, hawa watangazaji wetu wapate dondoo za elimu ya zao watakalorusha ili wahoji vizuri na kitaalamu zaidi.Watangazaji wa shamba shape up wanatangaza vizuri wana background melody tamu hawachoshi, na hiyo shamba lulu iko hivyo au ubabaishaji? (Kisimbusi changu hakina ITV)
Saa moja asbh si muda wa kazi mkuu ?Jumanne saa 1.00 hadi 1.30 asbh.