- Thread starter
- #41
Zinawaridhisha wavuta bangeSasa habari za ITV zimetulia hazihitaji wanywa viroba
Zinawaridhisha wavuta bangeSasa habari za ITV zimetulia hazihitaji wanywa viroba
mbona mkulu anawaaamulia cha kuonyesha, je ni yeye pekee anayesikiliza habari?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Watch Out Party TwoWochi iti
BBC ni chombo kama TBC huko UK sema hakitumiki vibaya tu, acha ITV waume na kupuliza Sizonje hatabiriki uchaguzi wenyewe bado sana!!..Tangu tishio la rais kuhusu wamiliki wa vyombo vya habari, taarifa za habari za itv zimekuwa za kuchosha kutokana kutangaza habari za kumfurahisha mkuu wa nchi tu.
Tumieni taaluma achaneni na wanasiasa watawapoteza. Igeni BBC, CNN nk
Unataka wapelekewe bill na TRA au utawasaidia kulipa?
"there is nothing to fear, except fear itself"= NAPE NAUYEWoga ndiyo kitu cha kuogopwa zaidi maishani!
We waponze tu.Tangu tishio la rais kuhusu wamiliki wa vyombo vya habari, taarifa za habari za itv zimekuwa za kuchosha kutokana kutangaza habari za kumfurahisha mkuu wa nchi tu.
Tumieni taaluma achaneni na wanasiasa watawapoteza. Igeni BBC, CNN nk
mbona mkulu anawaaamulia cha kuonyesha, je ni yeye pekee anayesikiliza habari?