Itungwe sheria inayotoa adhabu dhidi ya wanaomtukana Rais

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,406
5,031
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
 
Sasa kama ni watu wanamadhaifu yao wasisemwe!

Tutolee ujinga wako mkuu.
utasemwa tu na sio lazima tukuseme kwa staaha tutakusema hata kwa kukutukana ili akili zikukae vuzuri.

Ule pesa zetu ujimilikushe utajiri kwenye jamii maskini et tusikutukane utakuwa unaumwa wewe!
 
Baada ya kutunga hiyo sheria, nani atakeyeamua ipi ni hoja lipi ni tusi? Ukilinganisha nchi imejaa upumbavu wa wazi kabisa?

Kusimamia nani anasema nini ni kitu kisichowezekana, especially kwa public figure. Na hiyo sheria itakuwa ni kupoteza muda na resources nyingine muhimu bila matunda chanya yoyote kwenye nchi. Kwa maneno mengine, itakuwa ni moja ya Upumbavu ninaoungelea.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu

Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi

Tufanye hivyo mapema
Mama ajengewe sanamu kila mkoa
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu

Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi

Tufanye hivyo mapema
Naunga mkono hoja Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!
P
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu

Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi

Tufanye hivyo mapema
Kwani raisi sio mtu wa kawaida kama wengine? Raisi lazima aambiwe kwa namna yoyote ile kwani kazi ya uraisi hajarazimishwa kuifanya, kaiomba mwenyewe. Nia ni ya kutumikia wananchi wa kila aina.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu

Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi

Tufanye hivyo mapema
Adhabu iwe nzito kwa kila mtu anayetumia uhuru wa kujieleza vibaya
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu

Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi

Tufanye hivyo mapema
kwamb ni malaika
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu

Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi

Tufanye hivyo mapema
Political sycophant, chawa kwenye ubora wake, badala ya kuwaza, zitungwe sheria nzuri pale Brera, na, tra, ziwe rafiki kuwezesha vijana kufungua makampuni na biashara, we unawaza upuuzi
 
Sheria zitungwe za kuwabana watumishi na taasisi ili ziwe na tija kwa raia sio sheria za kuwafanya raia waisujudie serikali inayofanya mambo ya kuchefua nafsi zao.

Nianzie tu kusema mwisho wa uchawa ni mbaya sana. Heshimu watu sponsor hufa!
 
Sasa kama ni watu wanamadhaifu yao wasisemwe!

Tutolee ujinga wako mkuu.
utasemwa tu na sio lazima tukuseme kwa staaha tutakusema hata kwa kukutukana ili akili zikukae vuzuri.

Ule pesa zetu ujimilikushe utajiri kwenye jamii maskini et tusikutukane utakuwa unaumwa wewe!
Anza kumtukana mamako we unayetumia makalio
 
Back
Top Bottom