It's mayweather jr 48-0

It's mayweather jr 48-0

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,354
Reaction score
829,594
1430650767671.jpg 1430650767671.jpg 1430650767671.jpg
 
Mwandishi mkongwe wa BBC ambaye amewahi kucheza boxing zamani Ndugu Erick David Nampesya ametoa maoni yafuatayo kuhusu pambano la Mayweather na Pacquiao. Akiongea kwa kutumia utaalamu wake wa ndondi amesema;
"Ngumi za sasa ni biashara. Katika kukumbatia kwa yule "mswahili" zaidi ya Mara mbili alipaswa kukatwa point. Jambo la ajabu eti ameshinda round zote, wakati Mimi nimeona kashinda 8,9 na 10.
Anyway ndio matokeo, lakini binafsi nililpoona "mfilipino" ameshindwa kumdondosha jamaa hadi round ya 6, nikajua lazima atamaliza na wakimaliza tu Maywether atatangazwa mshindi (that was planned).
Njia pekee ya kumzuia Myweather kutangazwa mshindi ilikiwa kumpiga KO au kuhakikisha hamalizi raundi zote. Lakini kumaliza raundi zote ni advantage kwake maana points hawezi kupewa mfilipino.
Kama unaijua ndondi lazima utashangaa Mayweather kutangazwa mshindi wakati yeye alikua anajihami zaidi badala ya kushambulia. Na aliposhambulia alitumia zaidi "jab" wakati Mfilipino alikua anatumia the "jab" mara chache ila mara nyingi alitumia "cross", "hook" and "uppercut". Lakini marefarii kama hawakuona vile.
Unajua mchezo wa leo, ulikuwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 300. Sasa uchezwe Las Vegas, Majaji wote wa hapo Nevada, Kisha ashinde mfilipino?? Wamarekani wasingekubali.
Wameandaa mazingira ya Re-march iwapo mheshimiwa mbunge Pacqiao atakubali. Lengo ni kumsaidia Mayweather kutunza rekodi yake. Alisema anataka kustaafu akiishavunja rekodi ya Rocky Marciano ya kushinda mapambano 50 bila kupoteza.
Kumbuka leo amefikisha 48-0, yaani bila kupoteza pambano lolote. Kwa hiyo kinachofanyika ni siasa tu za ulingoni ili rekodi hiyo ya 50-0 iweze kufikiwa."

Haya wale waliojiita wataalamu wa ngumi waje kusema Mayweather alicheza "jab" ngapi, "cross" ngapi au "uppercut" ngapi.!
 
Mwandishi mkongwe wa BBC ambaye amewahi kucheza boxing zamani Ndugu Erick David Nampesya ametoa maoni yafuatayo kuhusu pambano la Mayweather na Pacquiao. Akiongea kwa kutumia utaalamu wake wa ndondi amesema;
"Ngumi za sasa ni biashara. Katika kukumbatia kwa yule "mswahili" zaidi ya Mara mbili alipaswa kukatwa point. Jambo la ajabu eti ameshinda round zote, wakati Mimi nimeona kashinda 8,9 na 10.
Anyway ndio matokeo, lakini binafsi nililpoona "mfilipino" ameshindwa kumdondosha jamaa hadi round ya 6, nikajua lazima atamaliza na wakimaliza tu Maywether atatangazwa mshindi (that was planned).
Njia pekee ya kumzuia Myweather kutangazwa mshindi ilikiwa kumpiga KO au kuhakikisha hamalizi raundi zote. Lakini kumaliza raundi zote ni advantage kwake maana points hawezi kupewa mfilipino.
Kama unaijua ndondi lazima utashangaa Mayweather kutangazwa mshindi wakati yeye alikua anajihami zaidi badala ya kushambulia. Na aliposhambulia alitumia zaidi "jab" wakati Mfilipino alikua anatumia the "jab" mara chache ila mara nyingi alitumia "cross", "hook" and "uppercut". Lakini marefarii kama hawakuona vile.
Unajua mchezo wa leo, ulikuwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 300. Sasa uchezwe Las Vegas, Majaji wote wa hapo Nevada, Kisha ashinde mfilipino?? Wamarekani wasingekubali.
Wameandaa mazingira ya Re-march iwapo mheshimiwa mbunge Pacqiao atakubali. Lengo ni kumsaidia Mayweather kutunza rekodi yake. Alisema anataka kustaafu akiishavunja rekodi ya Rocky Marciano ya kushinda mapambano 50 bila kupoteza.
Kumbuka leo amefikisha 48-0, yaani bila kupoteza pambano lolote. Kwa hiyo kinachofanyika ni siasa tu za ulingoni ili rekodi hiyo ya 50-0 iweze kufikiwa."

Haya wale waliojiita wataalamu wa ngumi waje kusema Mayweather alicheza "jab" ngapi, "cross" ngapi au "uppercut" ngapi.!

Kweli kabisa kaka
 
Mwandishi mkongwe wa BBC ambaye amewahi kucheza boxing zamani Ndugu Erick David Nampesya ametoa maoni yafuatayo kuhusu pambano la Mayweather na Pacquiao. Akiongea kwa kutumia utaalamu wake wa ndondi amesema;
"Ngumi za sasa ni biashara. Katika kukumbatia kwa yule "mswahili" zaidi ya Mara mbili alipaswa kukatwa point. Jambo la ajabu eti ameshinda round zote, wakati Mimi nimeona kashinda 8,9 na 10.
Anyway ndio matokeo, lakini binafsi nililpoona "mfilipino" ameshindwa kumdondosha jamaa hadi round ya 6, nikajua lazima atamaliza na wakimaliza tu Maywether atatangazwa mshindi (that was planned).
Njia pekee ya kumzuia Myweather kutangazwa mshindi ilikiwa kumpiga KO au kuhakikisha hamalizi raundi zote. Lakini kumaliza raundi zote ni advantage kwake maana points hawezi kupewa mfilipino.
Kama unaijua ndondi lazima utashangaa Mayweather kutangazwa mshindi wakati yeye alikua anajihami zaidi badala ya kushambulia. Na aliposhambulia alitumia zaidi "jab" wakati Mfilipino alikua anatumia the "jab" mara chache ila mara nyingi alitumia "cross", "hook" and "uppercut". Lakini marefarii kama hawakuona vile.
Unajua mchezo wa leo, ulikuwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 300. Sasa uchezwe Las Vegas, Majaji wote wa hapo Nevada, Kisha ashinde mfilipino?? Wamarekani wasingekubali.
Wameandaa mazingira ya Re-march iwapo mheshimiwa mbunge Pacqiao atakubali. Lengo ni kumsaidia Mayweather kutunza rekodi yake. Alisema anataka kustaafu akiishavunja rekodi ya Rocky Marciano ya kushinda mapambano 50 bila kupoteza.
Kumbuka leo amefikisha 48-0, yaani bila kupoteza pambano lolote. Kwa hiyo kinachofanyika ni siasa tu za ulingoni ili rekodi hiyo ya 50-0 iweze kufikiwa."

Haya wale waliojiita wataalamu wa ngumi waje kusema Mayweather alicheza "jab" ngapi, "cross" ngapi au "uppercut" ngapi.!

Ila kama angepigana na mzungu , Mayweather angeonekana kapigwa! Wazungu ni viumbe wengine kabisa
 
Ila kama angepigana na mzungu , Mayweather angeonekana kapigwa! Wazungu ni viumbe wengine kabisa

Unajiita mwanamasumbwi wakati kazi yako ni kukimbia kimbia tu ulingoni. Tulia rusha ngumi, punch ngumi.. sio kukimbia kimbia. Mwanaume kamili anatulia akipigwa ngumi anavumilia huku anatafuta timing. Akipigwa ya uso yeye anarudisha ya taya. Lakini ndugu yetu Myweather ni kukimbia kimbia tu. Nasikia wataalamu wanasema ukijumlisha umbali aliokimbia na kuruka ruka pale jukwaani ni sawa na kutoka Mwanza Airport hadi Igunga Tabora.. saaa hizi ni ngumi au riadha?
 
Wale waliokuwa wanataka takwimu hizi hapa semeni kingine. Mayweather
Pacquiao Punches throws
435
429 Punches landed
148
81 Jabs thrown
267
193 Jabs landed
67
18
 
Acha roho mbaya kaka Mayweather mziki mwingine soma takwimu hapo juu.
Unajiita mwanamasumbwi wakati kazi yako ni kukimbia kimbia tu ulingoni. Tulia rusha ngumi, punch ngumi.. sio kukimbia kimbia. Mwanaume kamili anatulia akipigwa ngumi anavumilia huku anatafuta timing. Akipigwa ya uso yeye anarudisha ya taya. Lakini ndugu yetu Myweather ni kukimbia kimbia tu. Nasikia wataalamu wanasema ukijumlisha umbali aliokimbia na kuruka ruka pale jukwaani ni sawa na kutoka Mwanza Airport hadi Igunga Tabora.. saaa hizi ni ngumi au riadha?
 
Watu wengine bwana hawajui ngumi kazi kulalamika tu.Eti alikuwa abakimbia kimbia hizo punches landed umeziona lakini
 
Unajiita mwanamasumbwi wakati kazi yako ni kukimbia kimbia tu ulingoni. Tulia rusha ngumi, punch ngumi.. sio kukimbia kimbia. Mwanaume kamili anatulia akipigwa ngumi anavumilia huku anatafuta timing. Akipigwa ya uso yeye anarudisha ya taya. Lakini ndugu yetu Myweather ni kukimbia kimbia tu. Nasikia wataalamu wanasema ukijumlisha umbali aliokimbia na kuruka ruka pale jukwaani ni sawa na kutoka Mwanza Airport hadi Igunga Tabora.. saaa hizi ni ngumi au riadha?

Hahahaaaaa
 
Mwandishi mkongwe wa BBC ambaye amewahi kucheza boxing zamani Ndugu Erick David Nampesya ametoa maoni yafuatayo kuhusu pambano la Mayweather na Pacquiao. Akiongea kwa kutumia utaalamu wake wa ndondi amesema;
"Ngumi za sasa ni biashara. Katika kukumbatia kwa yule "mswahili" zaidi ya Mara mbili alipaswa kukatwa point. Jambo la ajabu eti ameshinda round zote, wakati Mimi nimeona kashinda 8,9 na 10.
Anyway ndio matokeo, lakini binafsi nililpoona "mfilipino" ameshindwa kumdondosha jamaa hadi round ya 6, nikajua lazima atamaliza na wakimaliza tu Maywether atatangazwa mshindi (that was planned).
Njia pekee ya kumzuia Myweather kutangazwa mshindi ilikiwa kumpiga KO au kuhakikisha hamalizi raundi zote. Lakini kumaliza raundi zote ni advantage kwake maana points hawezi kupewa mfilipino.
Kama unaijua ndondi lazima utashangaa Mayweather kutangazwa mshindi wakati yeye alikua anajihami zaidi badala ya kushambulia. Na aliposhambulia alitumia zaidi "jab" wakati Mfilipino alikua anatumia the "jab" mara chache ila mara nyingi alitumia "cross", "hook" and "uppercut". Lakini marefarii kama hawakuona vile.
Unajua mchezo wa leo, ulikuwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 300. Sasa uchezwe Las Vegas, Majaji wote wa hapo Nevada, Kisha ashinde mfilipino?? Wamarekani wasingekubali.
Wameandaa mazingira ya Re-march iwapo mheshimiwa mbunge Pacqiao atakubali. Lengo ni kumsaidia Mayweather kutunza rekodi yake. Alisema anataka kustaafu akiishavunja rekodi ya Rocky Marciano ya kushinda mapambano 50 bila kupoteza.
Kumbuka leo amefikisha 48-0, yaani bila kupoteza pambano lolote. Kwa hiyo kinachofanyika ni siasa tu za ulingoni ili rekodi hiyo ya 50-0 iweze kufikiwa."

Haya wale waliojiita wataalamu wa ngumi waje kusema Mayweather alicheza "jab" ngapi, "cross" ngapi au "uppercut" ngapi.!

Evander: Nilijua Pacqiao ameshinda.
 
Mchezo halali ni riadha pekee maana mshindi halali anaonekana wazi na watazamaji!

Yeah japo nao wakiamua kukufanyia fitina ushindwe au upokonywe ubingwa hawashindwi wana mbinu milioni moja kidogo na ni wataalamu wa kutengeneza dhuluma
 
Mi nilisema kama kweli Pacquaio anautaka huu ushindi itabidi ampige KO vinginevyo ni mazingaombwe tu
 
Yeah japo nao wakiamua kukufanyia fitina ushindwe au upokonywe ubingwa hawashindwi wana mbinu milioni moja kidogo na ni wataalamu wa kutengeneza dhuluma

Hawakawii kukwambia kuwa wamekupima wakakuta una vimelea vya dawa za kuongeza nguvu au ukiwa msichana hawakawii kukwambia una jinsia ya kiume
 
Hawakawii kukwambia kuwa wamekupima wakakuta una vimelea vya dawa za kuongeza nguvu au ukiwa msichana hawakawii kukwambia una jinsia ya kiume

Wakiishindwa kabisa wanakutengenezea skendo ya changudoa au ubakaji
 
Question:
On your job is it the man who works the hardest who goes up the ladder or the one who works the smartest making the company money??......case closed.. Manny worked hard no doubt, can't take that away from him tonight but Floyd was smarter! Th
e smarter boxer won the match.

IF the fight was suppose to be a street fight in the streets perhaps Manny would win..BUT to beat a man in the sport of boxing you must BEAT him---doesn't matter if he runs or flys you are in the ring to WIN. Manny didn't do that. Floyd won the Boxing match which is scored by punches landed & percentages---SKILL...lets just be fair & stop using excuses. 48-0 speaks volumes.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom