It’s a Boy

It’s a Boy

Hapana sio mimi bhana, mimi ni mimi hapa sasa

Siunajua tena nguo zetu hizi za K/koo unanunua mnajikuta mmevaa wengi

unajitetea??

Nakuelewa bhana,mwandiko wako sio mzuri kama wa mtoa mada

Mzima lakini?
Karibu tena
 
Habar wana JF

Tunamshukuru Mungu anaendelea kutupigania Finally usiku wa kuamkia leo wife amejifungia na tumepata mtoto wakiume na wote wako salama mama na mtoto tunashukuru Mungu

View attachment 2617780
Kwa heshima yenu pia wote nawapa nafasi ya kumchagulia jina ambalo atapewa na pia naimani ntamlea katika misingi ya ki JF nabaada ya miaka kadhaa nitahakikisha anakuja kuwa member wa JamiiForums Asanteni karibuni wote
💪💪💪💪👉👉
 
Back
Top Bottom