Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Rais Magufuli sio mzungumzaji iwe kwa kiingereza au kiswahili. Wapo watu wapo hivyo tena mie nikimsikiliza akiwa anaongea pasipo kusoma naona ndiyo anafanya vizuri.
Akiwa anasoma anapooza saana.
Mwisho wa siku uongozi sio kuzungumza tu yapo mambo lukuki.
Akiwa anasoma anapooza saana.
Mwisho wa siku uongozi sio kuzungumza tu yapo mambo lukuki.