Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,894
- 1,485
.Hii ni endapo kijana msomi wa vyuo vikuu vya Dar es salaam ukihudhuria consciously kwenye events iliyoandalia na RC pale Mlimani city parking eti kwa lengo la kupongezwa pia kupongeza serikali ya awamu ya tano ilihali asilimia kubwa wanafunzi hawana mikopo, hosteli hazitoshi na mengineo wakiyafumbia macho kama serikali. Ni aibu sana kijana Amka acheni kuishi kama wahenga kufuata upepo nchi haijengwi hivi.