Eng HoffCani Sr
Member
- Nov 12, 2023
- 14
- 54
Tukubali tukatae Simba tumepoteana. Nukuta
Tukienda kimahesabu tu, Simba inaweza kufuzu bila kuchukua kombe ila kama mambo 4 yatatimia:Hapa yabidi tushinde mechi 12 au tuchukue kombe
Yanga wameshafuzu hata hiyo robo? Utazungumzia vip kuchukua kombe wakati hata robo fainali yenyewe ni mtihani mkubwa?Kama unajua ni sahihi kwanini ulisema kuwa Yanga haina vigezo vya kucheza FIFA club world cup? Timu zote 16 zilizofuzu katika hatua ya makundi zina nafasi ya kufuzu kasooro Wydad na Al Ahly pekee ambao wameshafuzu kwasababu ya kuwa bingwa wa misimu iliyopita. Kuna nafas moja ya bingwa mpya na kuna nafasi moja pekee ya upande wa rank.
Wakati huo mnaahinda waliopo juu yenu kipoint wao wawe wanafungwa tuHapa yabidi tushinde mechi 12 au tuchukue kombe
Ni ile iliyomchakaza Wydad 2 - 0 kwa mkapa.Sema tenaSimba hii hii iliyotoka sare na KMC? Au ile iliyochapwa 5?
Hizi ndio hesabu hua unakitakaa za tuki waki ,nashangaa unazitumia hapaTukienda kimahesabu tu, Simba inaweza kufuzu bila kuchukua kombe ila kama mambo 4 yatatimia:
1. Bingwa msimu huu awe Al Ahly au Mamelodi
2. Esperance apoteze mechi mbili zilizobaki za makundi na atolewe katika CL
3. CRB na Petro de Luanda wasije kumzidi point Esperance
4. Simba ashinde mechi 2 zilizobaki za Makundi halafu ashinde mechi zote mbili za robo fainali, zote mbili za nusu fainali na moja ya fainali
Ingawa kama nilivyosema, tayari kuna timu mbili za kaskazini zilizofuzu, Simba inabidi ajisogeze angalau nafasi ya 5 chini ya Esperance, ili kama vigezo vingine vitatumika kama vya ukanda Simba iwe chaguo linalofuata. Hatujui vigezo vyoote.
Yanga INA pwenti ngapi?.Huna akili yaani point 40 ukafuzu mbele ya timu iliyo na point 75?.
Wewe ushaitwa mama kubwa kaa lea familia... Yanga umeona kwenye orodha?Yanga INA pwenti ngapi?.
Tunajua inakuuma kuona mwakarobo anaenda mirikaniMungu hakupi unachotaka anakupa unachostahili. Kama mmekaa kwenye keyboard mkiomba mfuzu kushiriki huku wachezaji wanashinda Juliana wakifika uwanjani ni hovyo kabisa halafu unaomba mkashiriki CWC, badala viongozi wafanye usajili wao wanakomaa na 10% huku nyie mnaendelea kuota tu
mnadhani FIFA kuna kina MangunguTunajua inakuuma kuona mwakarobo anaenda mirikani
Hiyo ni funika kombe mwanaharamu apite!Tunazungumzia mashindano ya FIFA wewe uko bize na mashindano ya TFF.
Aya mtaenda. Infantino atawapitishaHuyo angekuwepo ingekuwa ngumu zaidi kufuzu, uzuri kuna Infantino
Punguza makasiriko!!!Aya mtaenda. Infantino atawapitisha
Nenda kafuatilie tena. Inaonekana huelewi kitu kuhusu hayo mashindano.Mashindano tunayoyazungumza hayafanani.
Maana Yanga imeipiga 5-1 Simba Lakini kwenye orodha ya vilabu vinavyoshindania kucheza Mashindano ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA 2025 HAIMO!!
Nini sielewi...Nenda kafuatilie tena. Inaonekana huelewi kitu kuhusu hayo mashindano.
Badala waishukuru FIFA kwa kuwafichia aibu wapo mitandaoni wanabwabwaja tu na kulalamika. FIFA wangeweka mkeka mzima, Deportivo de Utopolo wangekuwa mkiani na vipoint vyao 8. Washangae sasa jinsi wanavyomcheka yule mwenye point 45.Yanga INA pwenti ngapi?.