Itapendeza sana Simba SC ikifuzu kucheza FIFA Club World Cup 2025

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,151
7,919
Embu jaribu kuwaza Simba ifanikiwe kufuzu kwenye mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Marekani.

Embu waza night kali flani hivi, Tanzania nzima mijini hadi vijijini ndani ndani huko kila mtanzania anakesha kuisubiri mechi ya Simba vs Real Madrid, oya weee. Halafu unajua lazima Infantino na FIFA yake wataipanga Simba kwenye mechi ya ufunguzi maana wanajua vibe letu litafika hadi huko.

InshaAllah, kama nitabarikiwa kuwa hai kama Simba itafuzu haya mashindano lazima niyaone live bila chenga.
 
Embu jaribu kuwaza Simba ifanikiwe kufuzu kwenye mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Marekani.

Embu waza usiku fulani hivi, Tanzania nzima mijini hadi vijijini kila mtu anakesha kuisubiri mechi ya Simba vs Real Madrid, aisee. Na unajua lazima Infantino na FIFA yake wataipanga Simba kwenye mechi ya ufunguzi maana wanajua vibe letu litafika hata huko.

Inshallah, kama nitabarikiwa kuwa hai kama Simba itafuzu haya mashindano lazima niyaone live bila chenga.
5 itapendeza
 
Embu jaribu kuwaza Simba ifanikiwe kufuzu kwenye mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Marekani.

Embu waza usiku fulani hivi, Tanzania nzima mijini hadi vijijini kila mtu anakesha kuisubiri mechi ya Simba vs Real Madrid, aisee. Na unajua lazima Infantino na FIFA yake wataipanga Simba kwenye mechi ya ufunguzi maana wanajua vibe letu litafika hata huko.

Inshallah, kama nitabarikiwa kuwa hai kama Simba itafuzu haya mashindano lazima niyaone live bila chenga.
Simba hii hii iliyotoka sare na KMC? Au ile iliyochapwa 5?
 
20231223_214420.jpg

Ayubu fc
20231217_093045.jpg
 
Embu jaribu kuwaza Simba ifanikiwe kufuzu kwenye mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Marekani.

Embu waza usiku fulani hivi, Tanzania nzima mijini hadi vijijini kila mtu anakesha kuisubiri mechi ya Simba vs Real Madrid, aisee. Na unajua lazima Infantino na FIFA yake wataipanga Simba kwenye mechi ya ufunguzi maana wanajua vibe letu litafika hata huko.

Inshallah, kama nitabarikiwa kuwa hai kama Simba itafuzu haya mashindano lazima niyaone live bila chenga.
Vigezo vya kushiriki iyo michuano unaijua?
 
vigezo vya kucheza hiyo michuano ni vipi?
Kuna mchanganuo mmoja upo mtandaoni unaelezea vigezo ila kwa kifupi tu njia ya moja kwa moja kwa Simba kufuzu ni kubeba ndoo ya klabu bingwa Afrika msimu huu.

Kuna njia ya kukusanya points ila kuna kamlima karefu kati yake na timu mbili, Esperance na CRB labda kama FIFA warudi kwenye mfumo wa AFL waone timu za kiarabu zinaweza kuwa nyingi maana Al Ahly na Wydad tayari wameshafuzu, kwa hiyo labda waipe Simba kwa kigezo hicho. Mamelodi anakaribia kufuzu kwa kigezo cha points.
 
Mashindano tunayoyazungumza hayafanani.

Maana Yanga imeipiga 5-1 Simba Lakini kwenye orodha ya vilabu vinavyoshindania kucheza Mashindano ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA 2025 HAIMO!!
Ngoja tuone iyo orodha itawasaidia Nini, Kama itawatoa nafasi ya 3 kwenye ligi ama itawafanya muwe na timu imara!
 
Ngoja tuone iyo orodha itawasaidia Nini, Kama itawatoa nafasi ya 3 kwenye ligi ama itawafanya muwe na timu imara!
Vigezo vya kushiriki iyo michuano unaijua?

Hiyo orodha ukiangalia vizuri bado kidogo tungesema tuwasaidia utopolo muwafunge CRB ili wasiongeze points ila kwa kuwa mna viburi tunasema lolote baya liwakute, sisi tutajua jinsi gani ya kufuzu
 
Back
Top Bottom