Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Hahaha nyie subirini hao watu wakiondoka ndo akili zitawakaa sawa.Bazazi bazazi...!
Yani haka kaugonjwa hata mimi kanakujaga sometime na kupotea....sijui nitaovercome vip?
Dada mtumish tutatatuaje haka kadesease? Heaven Sent ??????
Pole mkuuu....
inaumaa mnoo, akiwa anarud sijui unataman umfanyeje..
Mimi nafikiri ata akirud anaweza kupata maumivu ambayo yatamfanya kunichukia mpaka kufa...maana upendo kwangu hakuna kabisa kwahiyo atapitia maumivu bora atokoeeee huko huko
Daddy ujue sio kwamba unakutana na mtu tu barabarani afu unaanza kumshobokea na hizo treatment. Ni vile mnakutana na mtu, mnaclick then mnakuwa friends or couple etc.
Na mwanzoni kila mtu anakuwaga poa, mnatreatiana vizuri, all of a sudden mmoja anaanza kuchukulia poa. Unamuacha tu na pozi lake, Piga zako U - turn maisha yaendelee.
Me naonaga kazi sana kuishi kwa machale na mtu as long as sina kitu chochote cha Kunifanya nimdoubt. If I doubt you, I will just detach myself period.
Afu hii kuishi kwa kuviziana kunaweza sababisha msienjoyiane vizuri coz kila mtu kuna Vitu Vizuri anavificha. Are you thieves or what? Daddy mwanao ndo Nipo hivyo hivyo, I'm a free spirit na sijawahi "kumpoteza mtu" wala kuwish kumrudisha mtu fulani kwa sababu nilimchukulia poa. Huwa navalue every single second nayospend na mtu na nimekuwa mtu mwenye furaha always. Na hamna mtu anayeweza kunidiscourage eti nisitreat watu wengine vizuri, coz there is one ungrateful person who took me for granted akhuu. Na kwa hilo Mungu huwa ananipa watu loyal daah hadi namshangaa. Mtu akizingua unamuignore tu, then upendo unauhamishia kwa watu wanaokuvalue
Kuna wakati mambo yanakuwa Magumu sana katika Mahusiano yetu.. Muda mwingi unautumia kwa kuulaumu Moyo au Maamuzi Yako na Hayo yote huletwa na Kile Ulichokijenga katika Imani yako.
Wakati Mwingine mapenzi yanaweza kukupumbaza na kuonekana kituko kwa jamii inayokuzunguka lakini kwa upande wako Unaweza Usilione Hilo..
Unaweza kuwa unajua kila unachofanyiwa ikiwemo na kutokuthaminiwa lakini Ukaamua Kufumba macho tu Kwa Kuwa Umependa na Hutaki kukipoteza Ulichonacho...
Kuondoka wakati umependa ni vigumu sana na kubaki huku unadharauliwa ni Ngumu sana Hivyo Hujikuta umebaki njia panda Huku ukijipa moyo kwamba Ipo siku Atabadilika bila kujua kuwa hapo ndio mwisho Wa Uhusiano wako...
Kumuacha Mtu aondoke tena Mtu Unayempenda ni Rahisi kuzungumza kuliko kutenda... Lakini Akiamua Kuondoka muache Aondoke Kwa Moyo Mkunjufu kabisaaa
Mkuu n story ndefu kidogo but imeniathiri sana kimaisha coz nilibadilika nikawa mtu w ajabu kidogo but I thank GOD sikutumbukia kwenye ulevi ama chapa ilale! Back to topic kw ndugu zetu w kike ukiwa too good to them unaonekana kama boya n huwezi kuchukua maamuzi magumu but mwisho w siku yy ndo inamcost.kwanini Moyo Unachafukwa? Na kwanini unarudi nyuma? Tupo hapa kuambiana tatizo na kujua ni wapi tunakosea. Hatuwezi kuiona Thamani ya tulichonacho mpaka kituponyoke, unadhani tatizo ni nini hapa?
Mkuu vipi tena?
Duuu! Pole sana mkuu, mpaka nafikia hatua y kutoa comment ujue limenisa sana.Mkuu kuna kitu unatakiwa kuwa nacho.jipe muda,penda maisha yako then kuwa selfish kidogo..ni kupe mfano mdogo mimi mtu aliondoka nikiwa kwenye hard time..masters inatesa,nimetoka kufiwa na uncle ambae alikuwa mshauri mkubwa kwangu then natoka kwenye msiba nafika home mzee anaumwa hatari halafu mtu anakwambia tuachane bila reason...hahahahahaha..wakati mwingine wadada wanashindwa kutambua nini wanataka kwenye mahusiano.mtu mpaka unafikir hivi ningemuacha situation kama hiyo yeye angekuwa vipi unakosa jibu.
Duuu! Pole sana mkuu, mpaka nafikia hatua y kutoa comment ujue limenisa sana.
Mkuu n story ndefu kidogo but imeniathiri sana kimaisha coz nilibadilika nikawa mtu w ajabu kidogo but I thank GOD sikutumbukia kwenye ulevi ama chapa ilale! Back to topic kw ndugu zetu w kike ukiwa too good to them unaonekana kama boya n huwezi kuchukua maamuzi magumu but mwisho w siku yy ndo inamcost.
Husiseme ndugu zetu wa kike sababu hii kitu ipo pande zote, na inaumiza ukimjali mtu na kumpa your all but he/she is never appreciative, there is always something wrong in what you say or do
Mkuu n story ndefu kidogo but imeniathiri sana kimaisha coz nilibadilika nikawa mtu w ajabu kidogo but I thank GOD sikutumbukia kwenye ulevi ama chapa ilale! Back to topic kw ndugu zetu w kike ukiwa too good to them unaonekana kama boya n huwezi kuchukua maamuzi magumu but mwisho w siku yy ndo inamcost.
That's why we have to thank GOD for everything that happen to our life coz huwa si rahisi kwa akili y kawaida kujua tumeepushwa n nini.Mkuu nimeshapoa aiseee life goes on...lakini kilikuwa kipind kigumu mpaka basi lakini tatizo lake nilikuja kulijua maana kuna vitu alimwambia wifi yake nikaja kuunganisha dot nikaona Mungu alikuwa na sababu zake kunionyesha either angekuja kunisumbua baadae maana nilipanga kupeleka mahali mwisho wa mwaka huu tukio limetokea miezi kazaaa nyuma
Nimesoma comment karibu zote naona kama vile wengi wenu kuna wakati mlijeruhiwa na mapenzi.Poleni sana, mi ambacho huwa naamini muda ni dactari mzuri sana maumivu uliyoyapata siku mliyobreak down na leo hayalingani kabisa.
Cha msingi ni kuangalia mbele zaidi ya nyuma, kumbuka nyuma kwa ajili tu ya kujifunza sio kujikumbushia huzuni.
Hapo nimekusoma vizuri DoutaDaddy ujue sio kwamba unakutana na mtu tu barabarani afu unaanza kumshobokea na hizo treatment. Ni vile mnakutana na mtu, mnaclick then mnakuwa friends or couple etc.
Na mwanzoni kila mtu anakuwaga poa, mnatreatiana vizuri, all of a sudden mmoja anaanza kuchukulia poa. Unamuacha tu na pozi lake, Piga zako U - turn maisha yaendelee.
Me naonaga kazi sana kuishi kwa machale na mtu as long as sina kitu chochote cha Kunifanya nimdoubt. If I doubt you, I will just detach myself period.
Afu hii kuishi kwa kuviziana kunaweza sababisha msienjoyiane vizuri coz kila mtu kuna Vitu Vizuri anavificha. Are you thieves or what? Daddy mwanao ndo Nipo hivyo hivyo, I'm a free spirit na sijawahi "kumpoteza mtu" wala kuwish kumrudisha mtu fulani kwa sababu nilimchukulia poa. Huwa navalue every single second nayospend na mtu na nimekuwa mtu mwenye furaha always. Na hamna mtu anayeweza kunidiscourage eti nisitreat watu wengine vizuri, coz there is one ungrateful person who took me for granted akhuu. Na kwa hilo Mungu huwa ananipa watu loyal daah hadi namshangaa. Mtu akizingua unamuignore tu, then upendo unauhamishia kwa watu wanaokuvalue
kweli mkuu but kuna muda unakosa namna y kuingia tena coz hakuna kitu mbaya kama kukutana n mtu alievaa koti la dini n kukuaminisha kuwa ana maadili yote then mwisho w siku anakuja kukuacha bila sababu z msingi.pole sana kiongozi, nadhani mshukuru Mungu kwa kutokea hili kabla ya kumuweka ndani.. Usingeweza kubeba maumivu mazito ambayo yangekuja kutokea ndani ya ndoa Yako... Cha kufanya Acha Maisha Yaendelee
Teh teh..Tiba ya tamaa ni ipi sasa?hilo sio tatizo mkuu bali ni tamaa. Kumbuka Ladha ni ileile na suluhisho la Unachokifanya ni siku Ambayo mkeo atagundua na kuchukua maamuzi ya kuondoka nadhani hapo ndio utaijua thamani ya mke na hao michepuko