Itakuwaje Watu warefu wakipanda ndege zetu

Itakuwaje Watu warefu wakipanda ndege zetu

Huyo hashim kwenye gari yake range rover sport anayotumia akiwa hapa bongo hua anatoshaje kukaa halafu kwenye q400 ashindwe, linganisha kima cha urefu wa Q400 na kima cha urefu wa range rover sport ndio ulete hizo habari zako
 
View attachment 410372 Mzuka wanaJamvi!

Ni mtazamo wangu tu. Tuseme kwa mfano Hashim Thabit akipanda hizi ndege zetu mpya Bombardier alivyomrefu halafu kakata siti ya nyuma kabisa na pakuingilia na kutoka ni mlango wa mbele si atapata shida sana. Kwasabab hizi ndege ziko chini sana ukilinganisha na zile Boeing za 80s. Yani itakuwa mwendo wa kuinama tu hadi ufikie siti yako hoi mgongo unauma.

Serekali ingalia hili kwa jicho la tatu Kwasabab ni kuwabagua watu warefu na kuwanyima fursa nao kupanda hizi ndege zetu mpya comfortably.

Na karibisha maoni yenu kwa hoja siyo kwa jazba

Barbarosa GENTAMYCINE @hihodaya Wakudadavuwa Lizaboni
Mayoo wane ! Kumbe kuna mambo ya pinda mugongo tena ?
 
Huyo hashim kwenye gari yake range rover sport anayotumia akiwa hapa bongo hua anatoshaje kukaa halafu kwenye q400 ashindwe, linganisha kima cha urefu wa Q400 na kima cha urefu wa range rover sport ndio ulete hizo habari zako
Ni hivi , kwa mfano siti yake iko nyuma , sasa anafikaje kule ?
 
View attachment 410372 Mzuka wanaJamvi!

Ni mtazamo wangu tu. Tuseme kwa mfano Hashim Thabit akipanda hizi ndege zetu mpya Bombardier alivyomrefu halafu kakata siti ya nyuma kabisa na pakuingilia na kutoka ni mlango wa mbele si atapata shida sana. Kwasabab hizi ndege ziko chini sana ukilinganisha na zile Boeing za 80s. Yani itakuwa mwendo wa kuinama tu hadi ufikie siti yako hoi mgongo unauma.

Serekali ingalia hili kwa jicho la tatu Kwasabab ni kuwabagua watu warefu na kuwanyima fursa nao kupanda hizi ndege zetu mpya comfortably.

Na karibisha maoni yenu kwa hoja siyo kwa jazba

Barbarosa GENTAMYCINE @hihodaya Wakudadavuwa Lizaboni
Watu mna visa nyie mmhh
 
Picha ya Hashimu Thabit
images.jpg
 
Swali kama hilo nilikiwa najiuliza nilipokuwa chekechea, nashindwa kuamini macho yangu kwa mtu kama wewe kuuliza swali utumbo kama hili, unless na wewe uko chekechea au labda umeuliza kwa niaba ya mwanao au bintio au ndugu yako wa chekechea.
massaiboi [HASHTAG]#pangaboi[/HASHTAG] !!!!!

kwa jinsi hiyo lazima umponde Copenhagen NO WAY.
 
MNA mambo ya ajabu Sana nyie,ipendeni nchi yenu na vilivyovyenu,
 
Ndege zitawatoeni roho
Dawa yake msipande kila uchao mnaziota ndege,zimewafanya nini?
 
Ujinga mwingine utaindolewa na risasi.
nyinyi ndio mnaoamini kunyamazisha watu na kuzima uhuru wa maoni kwa risasi? Ninawaswas na uraia wako utakuwa tu jamii ya kagame
 
Huyo hashim kwenye gari yake range rover sport anayotumia akiwa hapa bongo hua anatoshaje kukaa halafu kwenye q400 ashindwe, linganisha kima cha urefu wa Q400 na kima cha urefu wa range rover sport ndio ulete hizo habari zako
je kwenye renji anatembea? Si anafungua mlango tu nakukaa? Kwanini watu warefu wateseke kwenye nchi yao nao wanahaki wafurahie matunda ya ndege zetu mpya. Hii nchi ni ya wote
 
Aisee Kuna watu warefu Kuna mzungu mmoja ni mrefu hatari kitanda cha sita kwa sita inabidi kulala pembe 1 kichwa na pembe nyingine mguu, wanamfanyia mpango kuongeza urefu iwe sita kwa nane. Apate kulala vizuri.
 
Kama Mh.Mbowe unakubaliana na goli la Yanga,,na nimekuona unashangilia kuwa mmeshinda..Kiukweli hakuna haja ya kupinga matokeo ya Zanzibar maana goli la Yanga alinatofauti na uchaguzi wa Zanzibar [emoji23][emoji23][emoji23] # *Ukawa hawatakagi ujinga*
Ukweli haumezwi kirahisi, sababu ni mchungu, ukisikia wansiasa wanalia lia haki ukadhani wanacholilia ndicho wanacho maanisha, umedanganyika, mfano mdogo ndiyo huu anashangilia maumivu ya wenzie ambayo sio halali, bila kujali maimivu mnayoyapata, ila hii ungeposti juu la michezo ingependeza zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom