Mkuu, wachache sana hao. Waholanzi ndiyo watu warefu sana duniani. Sina uhakika kama KLM wana Bombardier pia.View attachment 410372 Mzuka wanaJamvi!
Ni mtazamo wangu tu. Tuseme kwa mfano Hashim Thabit akipanda hizi ndege zetu mpya Bombardier alivyomrefu halafu kakata siti ya nyuma kabisa na pakuingilia na kutoka ni mlango wa mbele si atapata shida sana. Kwasabab hizi ndege ziko chini sana ukilinganisha na zile Boeing za 80s. Yani itakuwa mwendo wa kuinama tu hadi ufikie siti yako hoi mgongo unauma.
Serekali ingalia hili kwa jicho la tatu Kwasabab ni kuwabagua watu warefu na kuwanyima fursa nao kupanda hizi ndege zetu mpya comfortably.
Na karibisha maoni yenu kwa hoja siyo kwa jazba
Barbarosa GENTAMYCINE @hihodaya Wakudadavuwa Lizaboni
Marehem gan huyo mkubwa?Urefu hakuna shida,ila unene ndiyo tatizo..,Kama yule marehemu aliyeshindwa kusafirishwa kwenda India kwa matibabu na kufariki...
jibu hoja acha jazba.Swali kama hilo nilikiwa najiuliza nilipokuwa chekechea, nashindwa kuamini macho yangu kwa mtu kama wewe kuuliza swali utumbo kama hili, unless na wewe uko chekechea au labda umeuliza kwa niaba ya mwanao au bintio au ndugu yako wa chekechea.
mkuu Sibobike unajua mada zingine tunaanzisha turefushe siku nakujifurahisha japo ukweli tunafaham ila wengine too emotional ila naona una hekima.Mkuu, wachache sana hao. Waholanzi ndiyo watu warefu sana duniani. Sina uhakika kama KLM wana Bombardier pia.
Na Wewe ni lumumba member?Wasiojua ndege na wasiowahi panda pekee ndo mnaoponda..
Kuna jamaa alikuwa na mwili mkubwa alikuwa anapelekwa India,alishindwa kusafiri na Airline Kama tatu Oman,Qatar,Ethiopian tatizo alikuwa na umbo kubwa na uzito mkubwa...wakati ndugu wanafanya michakato jinsi ya kumsafirisha,akafariki...Marehem gan huyo mkubwa?
Huu upuuzi wenu uccm/Cdm tafuteni kwa kuupereka,Kama hujui kitu ulize ufahamishwe...Na Wewe ni lumumba member?
hiyo kazi ndogo, si maijiniya wazalendo wapo?basi kazi nikubandua dungu lile na kuongeza urefu, HASHIM THABIT na warefu wenziwe hata kuwa na tabu tena ya kuchuchumaaView attachment 410372 Mzuka wanaJamvi!
Ni mtazamo wangu tu. Tuseme kwa mfano Hashim Thabit akipanda hizi ndege zetu mpya Bombardier alivyomrefu halafu kakata siti ya nyuma kabisa na pakuingilia na kutoka ni mlango wa mbele si atapata shida sana. Kwasabab hizi ndege ziko chini sana ukilinganisha na zile Boeing za 80s. Yani itakuwa mwendo wa kuinama tu hadi ufikie siti yako hoi mgongo unauma.
Serekali ingalia hili kwa jicho la tatu Kwasabab ni kuwabagua watu warefu na kuwanyima fursa nao kupanda hizi ndege zetu mpya comfortably.
Na karibisha maoni yenu kwa hoja siyo kwa jazba
Barbarosa GENTAMYCINE @hihodaya Wakudadavuwa Lizaboni
Alafu anadai eti akate siti ya nyuma, kwenye mkia kabisa, hata haoni madirisha yameishia wapi. Ivi huyo Hashimmu hapandi gari ndogo, hii nayo mpya.Ushawahi kupanda ndege? Tungeanzia hapo kwanza, pengine swali lako ungejijibu mwenyewe
Picha ya Hashimu Thabitkwani huoni mbona jf kuna visa hiviii??
niulize Kuhusu nini?Huu upuuzi wenu uccm/Cdm tafuteni kwa kuupereka,Kama hujui kitu ulize ufahamishwe...
Maskini wanyongee ni ngumu kupanda hizi ndegeeAsili yetu ni ufupi
Huyo atakayeshindwa panda kisa urefu hamna namna maana sio raia wetu
Hizi ni kwa ajili ya watanzania tena maskini na wanyonge
Mzidi kumuombea mtukufu katukumbuka walala hoi
Kwani sifa ya kuwa mchambuzi ni sharti ufike airport tu?baadhi yetu hatujitafakari na kuleta post za maana, kupoteza mda tukijadili urefu wa abiria na ufupi wa kimo wa ndege mpya ni upungufu wa mawazo chanya,
mlilaumu sana manunuzi ya hizi ndege ati zimetumia gharama kubwa ilihali hili au lile halijafanyika, zimenunuliwa tena kwa bei inayoendana hali yetu ya uchumi mmeanza kuponda mkitaka zingenunuliwa Boeng au Airbus ambazo kiukweli zina gharama kubwa kuliko pia hata uendeshaji wake,
hivi mfanyiwe nini? wengine mnajifanya wachambuzi ilihali hata airport hamjakanyaga, tuweni wakweli kuwa tumenunua kulingana na uchumi wetu ulivyo, tuwe wazalendo na si wachambuzi uchwara.