Thubutu! Nani atathubutu kttoa kauli ya kumtimua EL? Labda asiyejua yaliyomkuta Mkama!
CHADEMA kwa sasa hawapokei "viongozi" toka CCM, hivyo Lowassa hawezi kujaribu kuomba kujiunga CHADEMa.Tujadiliane hapa!
Waziri mkuu mtaafu Edward Lowasa akitakuwa kutoka CCM..
Chadema wanaweza kumkataa?
hakuna ccm bila lowasa na hitakuja kuwa ccm bila lowasa milele.Thubutu! Nani atathubutu kttoa kauli ya kumtimua EL? Labda asiyejua yaliyomkuta Mkama!
Chadema Wakimpokea Lowassa sipigi kura kabisa.