Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,795
jogi humu tunatumia ID bandia ambazo baadhi yake zinaficha uhalisia mwingi tuuUmempa sifa nyingi ambazo hana.
Ni mwoga kupindukia.
Anaweza kuyumbishwa na mwanamke (japo hili wengi linawahusu)
Ana shingo ngumu (wasomaji wa biblia watanielewa)
Hajawahi kusoma maneno haya yafuatayo:-
A friend in need is a friend indeed
Alitukimbiaaaaaaaaa
Na akifa azikwe huko huko.
Kila mtu naturally hakosi wapenzi washabiki nk! Ni haki ya kiasili mno lakini unapoona post za namna hii fahamu kuwa kuna la ziada(kumbuka zile picha la last week)