Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,905
- 18,871
Watu wanasema, rais katoa bilioni kadhaa, rais katoa mashine hii nk.
Sasa kwa mambo negative itakuwa sahihi kumhusisha rais? Kwamba rais kawatenga mpwapwa hawana maji. Hospitali ya namtumbo haina dawa, Rais Samia kapwaya nk.
Sasa kwa mambo negative itakuwa sahihi kumhusisha rais? Kwamba rais kawatenga mpwapwa hawana maji. Hospitali ya namtumbo haina dawa, Rais Samia kapwaya nk.