Itakua amekula "my wife" wa huyu mjeshi tu lazima,ebu ona hili tifu aloh!

Kuna waziri mkubwa mstaafu anaweza kutuambia maana wana style sawa hawajulikani kama wanalia, wamenuna, wanacheka nk.

Na yeye ndo alisema huyo jamaa apigwe tu maana hakuna namna
 
Acha tu ibaki... Hii imefanyika kwa uwazi tena mchana kweupe huko kwa wenzetu... Usifikiri haya mambo Tanzania hayapo... Muulize Roma atakuambia... Ama wale waliowahi kuchukuliwa na kwenda kufichwa mahali kwa mahojiano
Sijasema hayapo najua yapo na mabaya zaidi ya hayo ila bado hazifai, kwa kuheshimu utu ni Bora zitolewe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…