It will be suicide for America to attack Iran

It will be suicide for America to attack Iran

Doooh kwamba US iliikimbia Somalia? Yaaani nchi iliyoisambaratisha Islamic State kumuua Al baghldad, US iliyomuua Osama na kuiteketeza Al Qaeda ndo ishindwe hapo Somalia?

Vitu vingine ni interest tu mkuu hakuwa Na Interest hapo Somalia. US was wrong kuwepo in that war in the 1st place.
Yaani awali wakati wanataka kuingia vitani walikua hawajui kama watakua wapo wrong ama

Kuna mambo yanachekesha sana yaani wewe unajua kama walikua Wrong Halaf CIA wasijue

Sent using My COVID-19
 
Iran kupigwa na US ni kama kuua mende kwa nyundo, Iran atatandikwa na Saudi Arabia na huo ndo utakuwa mwisho wa mashia.

Sent using Jamii Forums mobile app
SAUDI ARABIA Apigane Na HOUTH kwanza Anahangaika Nao Mwaka Wangapi Huu


US Anatamani Kumpiga MUAJEMI ila Anajua Khatma Atakayokumbana Nayo Anabakia Kubweka Tuu

Sent using My COVID-19
 
SAUDI ARABIA Apigane Na HOUTH kwanza Anahangaika Nao Mwaka Wangapi Huu


US Anatamani Kumpiga MUAJEMI ila Anajua Khatma Atakayokumbana Nayo Anabakia Kubweka Tuu

Sent using My COVID-19
Hatuui mende kwa nyundo, saudia Arabia atayasambaratisha mashia na huo ndo utakuwa mwisho wa uislam kuchafuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Iran is powerful yes, but not as you put it. Iran ingekuwa that powerful US officials wasingepata guts za kumuua Soleimani ambaye alikuwa the most influential figure in the Iranian Military.

Yaani Suala la US kumuua Soleimani ni sawasawa na US kuishika makalio Iran na inatosha kabisa kuthibitisha Iran kuwa siyo that powerful kama unavyoiweka. Yaaani Top Iran Military Officer anauliwa anaishia kuattack a military base tena without a single death. Kwanini Iran wasinge-retaliate kwa kumuua mtu kama Michael Grinston ambaye ni top official kwenye Jeshi la US? Wakaishia kulialia tu.

Ngoja nikuulize hivi Unahisi Nini kitatokea Leo kama US ikimuua mtu kama Park Jong Chon ambaye ni kama Soleimani kwa North Korea?
Na unahisi Nini kitaipata US ikijaribu kufanya hivyo?

Mnaikuza Sana Iran.
No hatuikuzi Iran,ila ni kweli imekua sana kijeshi.Hatusemi it is as powerful as the US hapana,na hii imeonyeshwa wazi kwenye bandiko, ila US kuishambulia Iran,ni lazima Marekani ifikirie mara mbili,wanaweza kupata damage kubwa sana.

Iran has good weaponry,askari wa Iran wana akili,wana high morale na uzoefu.Infact naweza kusema they are war hardened.

Kitu kingine kizuri ambacho askari wa Iran wanacho,ni wananchi wao,wanawapenda.Hii inawaongezea courage na zeal.Hii ni tofauti kabisa na askari wa Marekani.Kwanza most Americans,na hata askari wenyewe, do not appreciate what they are doing.Wanaona tu kama wanaonea mataifa mengine and are occupiers,kwa hiyo hawapendi hasa wanalolifanya,and they are right.Hali hii ikichanganywa na the fact that most American soldiers are mercenaries, you have an army whose morale is very low.Na ndio maana they loose in many wars.The Americans have never really won a war since World War II.
 
Nimekuelewa mkuu ila kwenye Iraq War against Sadam Hussein, US pia ilishindwa?
Iraq was a devastated army already by then,si unakumbuka walikuwa wametoka kwenye vita na Iran.Kumbuka pia kwamba Marekani hawakuwa wenyewe katika vita ile,that was a coalition.Uingereza walikuwepo,Canada nk.nk.
 
Back
Top Bottom