Ukiona hii picha na walivyopendeza hutadhani kama Tanzania watu wake ni maskini... Kumbe ni mikupe michache inakula raha na warembo kama iko paradiso kwa kisingizio cha kuwa wabunge na watetezi wa walalahoi bungeni. Majizi makubwa kungaa huko ni posho na pesa zetu wavuja jasho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.