IT Project Kwa Vitendo

IT Project Kwa Vitendo

Ok sasa by next week or two kila memeber ajaribu kudesign database na Regsitration forme . Unaweza kucheki baadhi ya document mwazo inaweza kutusaidia kujua hasa ni field type ganini za muhimu kwenye DB yetu.

Nadhani itakuwa vizuri pia katika kudesig page zetu tuwe na Folder la CSS, IMAGE na SCRIPT

  • CSS zote za page zitakaa kwenye folder la CSS
  • Picha zote za site zitakaa kwenye IMAGE
  • na java script au jqury zitaa kwenye folder la SCRIPT au JS.
Nashasuri pia tuchague standard backgroud color. kama kutakuwa na umuhimu wa kuchanganya rangi basi tuchague rangi mbili au tatu stable tutazotakiwa kutumia kwa page.

Hii page nashuri uendleee kuifanyia marekebisho mfano sehemu ya category naona hta CSS yake ni embeded ifanye iwe external. Sabau ninayo copy pia nitakuja na mapendekezo.


Tukitoka kwenye datababase na registration form tutadili na login form . hapo tutatkuwa tumemaliza kazi ngumu.

Nitaleta MySqL script ya kucreate database nayopendekeza siku si nyingi.
 
Ok sasa by next week or two kila memeber ajaribu kudesign database na Regsitration forme . Unaweza kucheki baadhi ya document mwazo inaweza kutusaidia kujua hasa ni field type ganini za muhimu kwenye DB yetu.

Nadhani itakuwa vizuri pia katika kudesig page zetu tuwe na Folder la CSS, IMAGE na SCRIPT


  • CSS zote za page zitakaa kwenye folder la CSS
  • Picha zote za site zitakaa kwenye IMAGE
  • na java script au jqury zitaa kwenye folder la SCRIPT au JS.

Nashasuri pia tuchague standard backgroud color. kama kutakuwa na umuhimu wa kuchanganya rangi basi tuchague rangi mbili au tatu stable tutazotakiwa kutumia kwa page.

Hii page nashuri uendleee kuifanyia marekebisho mfano sehemu ya category naona hta CSS yake ni embeded ifanye iwe external. Sabau ninayo copy pia nitakuja na mapendekezo.


Tukitoka kwenye datababase na registration form tutadili na login form . hapo tutatkuwa tumemaliza kazi ngumu.

Nitaleta MySqL script ya kucreate database nayopendekeza siku si nyingi.
Poa mkuu hakuna tatizo, nitajitahidi kwa upande wangu kuandika form nyingine ambayo haina yale marangi rangi ya kubadirika...!
 
Hivi ndugu zangu mnatumia akili kweli ama mnafanya tuu haya mambo bila ya kufikiria kwa kina?? sidhani kama unaweza kutoa idea ya kitu kikubwa kama hicho kisha ukaumiza watu vichwa kisha huna hata pesa za kuhost. na pia ukaihost kwenye hosting za free pia hata domain ikakushinda kununua. jamani nawashauri kwanza mkae tena chini team nzima kisha muchange pesa na mkiibua kitu kiwe cha uhakika na cha maana wewe unadhani ukifanya km hivi mlivyofanya mashirika ama kampuni gani itawaunga mkono? je mtumiaji gani ataitumia?? fanyeni kitu kitaalamu na pia mkitaka msaada nitawapa na si kufanya kitu kiutoto kama hivi eti mnahost kwenye free severs. what is this?? pia angalieni sana kwenye graphics naona bado kabisa pia km mnataka msaada niambieni. napenda kuwaona watu wanafanya kitu kwenye mambo ya I.T lakini si km hivi mlivyofanya. mkiamua kitu inabidi mjitolee kihali na mali si kuchangia kwa maneno tuu. ww unadhani hii JF wangehost kwenye free severs na free domain nani angeingia??? jiulize? jipangeni upyaaaaaa mabrother
 
Hivi ndugu zangu mnatumia akili kweli ama mnafanya tuu haya mambo bila ya kufikiria kwa kina?? sidhani kama unaweza kutoa idea ya kitu kikubwa kama hicho kisha ukaumiza watu vichwa kisha huna hata pesa za kuhost.
na pia ukaihost kwenye hosting za free pia hata domain ikakushinda kununua.

Ndio tunatumia akili ila tunatofautiana ikiwezekana tugawie zao kidogo.unajua binadamu wote si sawa . ungechukua time kusoma japohizo attched dcument mkuu. Naelewa utaalam wako but usidhani utaalam bila process unasaidia. Hii free host ni for testing purpse. Is it wrong?

pili hii proejct ina objective zaidi ya moja one of them ni kujifunza. Na hata isingekuwa testing unaweza kuwa na free host bado ukachieve objective. Mbona watu wanatumia MySQL ambayo ni free kwenye Database na sio SQL server. Mbona watu wanatumia Apache kama web server na sio ISS?? Mbona kuna blog zinazotumia blgspot.com ziko sucessful kuliko hata website kamili.

Unaweza kuwa mtaalam mzuri but elewa kitu kinaitwa system development. Kuna stage inaitwa system analysis kuna evalution, etc. Sasa tungekuwa na domain alafu project ikafail ungetusifu? There should be a systematic approach pf doin things.

Mimi ninaweza kununua domain na hata Xpaster alijitollea kulipia domain .Then what. wewe criteria zako za kupima sucessful website project ziko wrong. Unaonekana project unazofanya kinyume nyume. This is not RAD

.jamani nawashauri kwanza mkae tena chini team nzima kisha muchange pesa na mkiibua kitu kiwe cha uhakika na cha maana wewe unadhani ukifanya km hivi mlivyofanya mashirika ama kampuni gani itawaunga mkono?
Ushauri wako ulizingatiwa nadhani hujasoma project documents zilizopo. What we were trying to do? an dhow tulikubaliana tufanye na odhumuni zima la prject hii .

je mtumiaji gani ataitumia?? fanyeni kitu kitaalamu na pia mkitaka msaada nitawapa na si kufanya kitu kiutoto kama hivi eti mnahost kwenye free severs. what is this??
Naona msisitizo wako na kero yako iko wenye free server basi tusaidie kuhost japo kwa miezi sita. But kweli I wonder kama na wewe unajua na unatmia best practice process za IT kwenye development ya project zako

pia angalieni sana kwenye graphics naona bado kabisa pia km mnataka msaada niambieni. napenda kuwaona watu wanafanya kitu kwenye mambo ya I.T lakini si km hivi mlivyofanya. mkiamua kitu inabidi mjitolee kihali na mali si kuchangia kwa maneno tuu. ww unadhani hii JF wangehost kwenye free severs na free domain nani angeingia??? jiulize? jipangeni upyaaaaaa mabrother
je unajua kabla JF haijangia online walifanya nini? may be wewe umeiju baada ya kupata neno.com . Umeongea na owner kakujulisha alivyoanza alianzaje?
hahhha Duh . i can see nakubali wewe ni mtaalam but re also missing something brother. Try kusoma System development .

othewise i can see we have a diffrent approach of doin things.But najua umetoa maoni yako kwa nia nzuri but sikubaliani na approach unayotaka tutumie.

Check out navyopenda vya free. teknohama-Bongo -
 
Kaka kusema kweli unajua sana kujitetea sikia ndugu yangu usione nakukwaza ama najifanya najua sana la ghasha, ila najaribu kuchangia mawazo yangu amavyo mimi najua, hii project nilivyoiona mnavyoiongelea sikutarajia na mlivyoifanya mimi nilitarajia mtafanya kitu kama hichi cheki hii picha uone mawazo yangu yalikua yanafikiria mnataka kufanya kitu gani . kama swala kuhusu kutest web ili kujua kama watu wataisapot ama vipi inabidi uweke aidea nzima online yaani web yote uitengeneze na uiweke online kisha lipia mwaka moja . ukiona watu wamerespond utaongeza miaka ukiona hakuna aliyesapot hulipii tena na si kuihost kwenye free sever project kubwa km hio. haya ni mawazo yangu tuu. kama utayaafik mimi mtaniongeza kwenye team yenu tufanya mambomakubwa maana aidea yenu japokua ipo tayari watu washafanya lakini hakuna kitu cha peke ako dunia hii kila mtu anajaribu kuonyesha mawazo yake na ujuzi wake. icheki picha hio kisha toa maoni
project.jpg
 
Kaka kusema kweli unajua sana kujitetea sikia ndugu yangu usione nakukwaza ama najifanya najua sana la ghasha, ila najaribu kuchangia mawazo yangu amavyo mimi najua, hii project nilivyoiona mnavyoiongelea sikutarajia na mlivyoifanya mimi nilitarajia mtafanya kitu kama hichi cheki hii picha uone mawazo yangu yalikua yanafikiria mnataka kufanya kitu gani . kama swala kuhusu kutest web ili kujua kama watu wataisapot ama vipi inabidi uweke aidea nzima online yaani web yote uitengeneze na uiweke online kisha lipia mwaka moja . ukiona watu wamerespond utaongeza miaka ukiona hakuna aliyesapot hulipii tena na si kuihost kwenye free sever project kubwa km hio.

Issam ebu tuwekane sawa. Kabla ya implimentation ya IT project genarally inapitia stage gani.????

MImi ninavyoelwa hata maofisni kuna server zinatumika kama development au test server. Once kitu kikiwa tested na na kuonekana kina faa ndio kinakuwa implimented.

Kwa hiyo bado sielwei upinzani wako wa kutumia free server katika development.It does not mean tutatumia free server katika implimentation. hata kama ni project kubwa lazima iwe developed na iwe tested in an efficient way.

Tatizo nililoliona kwenye hii kitu nia IT proffesional wengi wako interested na coding na implimentation. Wich is too bad. Tuna wataalam wazuri na wengi lakini nasema we are very poor in documentation part. We are very behind in best practice za IT project development process.

Tulianza watu zaidi ya kumi na wengi walidhani tutakuwa na webage in few days. Project leader akasema tuandike risk analysis . walichangia wachache. Ikaja task ta Requirement specification document wakachangia wachache.. Hii ni big problem

kuna mambo ya project scope,objective project planning. Haya ni muhimu lakini sababu IT proffesiona wengi tuna alergey na document tunadharau.Matkoeo yake unashangaa muhindi anatupiga bado wapi kumbe ni vitu vidogo tu..

Sasa regsitering domain sio muhimu mwazoni kuzidi planing for schedule, task, na activity na deadline. In fact its trough activity sheduling utajua ni lini hasa unatakiwa kufanya domain registration

Hii project ingekuwa sucessfull kuna uwezekano wa kupata financier hata kwenye mashiria ya kimataifa makubwa au hata serikali .Just kwa kuwa na project document nzuri. Sababu one of the obective ni kurahisisha uwajibikaji na utoaji wa habari na kero kwa wahusika.

haya ni mawazo yangu tuu. kama utayaafik mimi mtaniongeza kwenye team yenu tufanya mambomakubwa maana aidea yenu japokua ipo tayari watu washafanya lakini hakuna kitu cha peke ako dunia hii kila mtu anajaribu kuonyesha mawazo yake na ujuzi wake. icheki picha hio kisha toa maoni
Unajua through challenge tunaelimishana na nafuraahi kupata challenge kutoka kwako

unakaribishwa kujinga. Na machngo wako na wetu ukiwa combined tunaweza kua chive something.

Ni kweli kuna watu washafanya kitu kama hiki lakini tume adress problem zilizpo kwenye prevoius project kama hizi. We aimed this service to be free.

Mfano hii database drived website inatakiwa ijubu maswali kama haya amabyo system zilizopo hazina majibu yake

  • Mtu akizidiwa ghafla mbagala kataka kujua kama kuna dakatari karibu wa kumpa japo ushauri atapata wapi taarifa?
  • Mtu gari yake imepata tatizo ghalfa kawe atajuaje fundi fulani au garage iliyo mitaa hiyo?
  • Mzazi anataka mwanaye asome tution karibu na nyumbani atajuaje kuna mwalimu xyz wa physics mitaa ya karibu.?
  • Unataka kujua mkulima maarufu wa matunda lushoto ili ukachukue matunda moja kwa moja utamjuaje?
  • Niko mkwajuni ndani ndani nataka kupata taxi driver maeneo ya karibu anipeleke mwenge.
  • Prof BBB computer yake imegoma ghalfa upta network ataka kujua kama mitaa anayoihsi kuna mtaalam wa ICT aweze kuja kumtatulia tatizo.
  • mfanyabiashatra ccc anauza nguo karikoo anataka watu wafamu business yake
  • Mwananchi wa jimbo la NNN anataka mbunge au diwani, au DC au RC ajue kero yao . Ni wanagpi wanajua number za kiofisi za wabunge u ofisi ya mkuu wa wilaya au Mkoa.
  • Mwananchi kaombwa rushwa na nesi au dkatari anataka kuwafamisha takukuru wilaya issue yake.
hakuna proeject niliyoona inayojibu maswali kama haya hapo juu . Tovuti kama hii Tanzania's only comprehensive business directory naona ni useless kwa watanzania. Na iko kibiashara zaidi.

So kimsingi official number za public isntitutions tutaziingiza wenyewe. watu wataweza kuingiza na kutoa official info zao. But prject inachechemea teh teh teh So karibu may be utatupa nguvu.
 
Hii ni proosal yangu ya back end databaseitavyokuwa.> ninyoona tunahitji table moja ya users
PHP:
CREATE TABLE IF NOT EXISTS `users` (
  `ID` bigint(20) unsigned NOT NULL auto_increment,
  `user_name` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_category` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_hse_no` varchar(60)  NULL default '',
  `user_sreet` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_constituency` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_district` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_region` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_phone` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_login` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_pass` varchar(64) NOT NULL default '',
  `user_email` varchar(100) NOT NULL default '',
  `user_url` varchar(100) NOT NULL default '',
  `user_registered` datetime NOT NULL default '0000-00-00 00:00:00',
  `user_activation_key` varchar(60) NOT NULL default '',
  `user_status` int(11) NOT NULL default '0',
  `description` varchar(250) NOT NULL default '',
  PRIMARY KEY  (`ID`),
  KEY `user_login_key` (`user_login`),
  ) ENGINE=InnoDB  DEFAULT CHARSET=utf8 AUTO_INCREMENT=3 ;
 
Kaka nimekuelewa kabisa ndugu yangu ila tunapishana padogo sana, Nakama utataka kuifanya kama hivyo unavyotaka kufanya itachukua ages kuikamilisha hii project, achana na mambo ya schedule, task, na activity na deadline, scope,objective project planning hivi vitu weka pembeni . tafuta watu 10 ambao wanataka kufanya kazi hasa. changeni pesa tatu, kisha mkishapata hizo pesa na pia hao watu wakiwa tayari kujitolea nambie mimi nitaihost na pia nitanunua domain kwa mwaka mmoja kuitazama itakuaje. kisha itakapokua tayari ipo online itabidi data mzikusanye nyie yaani mtapita kwenye maosifi yote kukusanya data zao na contact zao ama zengine unaweza kuzitoa kwenye directories nyengine , kisha kwanza muanze just kwa maosifi ya kiserekali tuu za mikoa yote, kisha kuitangaza kweye matagezeti watu waijue na waingie kuweka contact zao. hii kazi ya kuiweka hewani mimi siku mbili tuu naiweka kama mtakua tayari. ni kitu rahisi sana, ila nyie mnataka kufanya kama mnafungua kampuni ya mabilioni, kukaa vikao,kufanya presentetion .ukifanya hivyo itakuchua miaka sita kuiandaa. kaka haya ni maoni tuu
 
Hivi ndugu zangu mnatumia akili kweli ama mnafanya tuu haya mambo bila ya kufikiria kwa kina?? sidhani kama unaweza kutoa idea ya kitu kikubwa kama hicho kisha ukaumiza watu vichwa kisha huna hata pesa za kuhost.... ww unadhani hii JF wangehost kwenye free severs na free domain nani angeingia??? jiulize? jipangeni upyaaaaaa mabrother
Sina uhakika kama kweli tunatumia akili...!

Ila ungesoma tangia mwanzo, na kuzipakuwa hizo documents, ungejua kama watu wanatumia akili ama lah!
Kuliko hivi ulivyo kurupuka na kukosoa bila kuelewa mwanzo na mwelekeo wa project nzima...!

Aaaaaaah! kaka wacha hizo toa basi japo idea yenye akili basi... au wewe unaonaje!?
 
Kaka idea si hizo nishatoa , samahanini kama nimewakwaza
 
Kaka nimekuelewa kabisa ndugu yangu ila tunapishana padogo sana, Nakama utataka kuifanya kama hivyo unavyotaka kufanya itachukua ages kuikamilisha hii project, achana na mambo ya schedule, task, na activity na deadline, scope,objective project planning hivi vitu weka pembeni . tafuta watu 10 ambao wanataka kufanya kazi hasa. changeni pesa tatu, kisha mkishapata hizo pesa na pia hao watu wakiwa tayari kujitolea nambie mimi nitaihost na pia nitanunua domain kwa mwaka mmoja kuitazama itakuaje. ....................

Issam kwa uzoefu wako japo wewe ni new comer naomba nikupe usukani wa hii project

X-paster nisamehee usione nimekudharau but mtaalam Issam anaweza kufikisha kule tunakotaka kufika . Nadhani utakubaliana na hilo. na yeye atakubalidemokrasia ya wengi. Tuna mengi ya kujifunza kutoka kwake
Haya from now Issam you re Leader. Give us directionNawasilisha.
 
Kaka idea si hizo nishatoa , samahanini kama nimewakwaza
Hapana kaka, ujatukwaza, ila ukujuwa tangia mwanzo kuwa hii project ni kama vile open source, yaani kila mwenye kujisikia kutaka kuchangia basi anakaribishwa... Hakuna anaye kataliwa, kwa sababu tupo hapa kupeana mawazo na sisi wengine tupo hapa kujifunza kile ambacho hatukijui...!

Karibu sana mkuu.
 
Issam kwa uzoefu wako japo wewe ni new comer naomba nikupe usukani wa hii project

X-paster nisamehee usione nimekudharau but mtaalam Issam anaweza kufikisha kule tunakotaka kufika . Nadhani utakubaliana na hilo. na yeye atakubalidemokrasia ya wengi. Tuna mengi ya kujifunza kutoka kwake
Haya from now Issam you re Leader. Give us directionNawasilisha.
Ah ah ah, mkuu usinichekeshe, sasa hapo umenidharau kivipi kaka, kwani mimi nilikuwa kiongozi!? Hayo maneno ulipaswa umwambie kiongozi RedSilverDog ambaye ndiye Team Leader, mimi ni member tu wa kawaida... yaani hata yale makabrasha bado kushika.

Usijali mkuu tupo pamoja.
 
Ok nimewaelewa mimi sitaki kua kiongozi itakua si uungwana mimi nataka niwe mmoja kati ya wachangiaji wa hili tuu , vile vile mlivyopanga mwanzo tumalize hii project vile vile just mimi mnadd tuu. nadhani now tuongelee what is the next step. napendekeza next step iwe hii - kujipanga upya , sikusudii kwamba viongozi tubadilishe no nataka tujue nani yuko ndani na nani yuko nje, yaani wale ambao wanataka bado kuendelea na hii project na wale ambao hawako tayari yaani wako busy ama something. pia tujue idadi ni wangapi wako kwenye team, na team leader aitishe kikao cha team kisha mkubaliane kwa face to face kila mmoja aseme atatoa mchango gani,mchango si lazima pesa ni hata kama ujuzi au hali, yaani nani pia atajitolea kutafuta data kwenye maofisi. so je mko tayari na hio step??
 
Ok nimewaelewa mimi sitaki kua kiongozi itakua si uungwana mimi nataka niwe mmoja kati ya wachangiaji wa hili tuu , vile vile mlivyopanga mwanzo tumalize hii project vile vile just mimi mnadd tuu. nadhani now tuongelee what is the next step. napendekeza next step iwe hii - kujipanga upya , sikusudii kwamba viongozi tubadilishe no nataka tujue nani yuko ndani na nani yuko nje, yaani wale ambao wanataka bado kuendelea na hii project na wale ambao hawako tayari yaani wako busy ama something. pia tujue idadi ni wangapi wako kwenye team, na team leader aitishe kikao cha team kisha mkubaliane kwa face to face kila mmoja aseme atatoa mchango gani,mchango si lazima pesa ni hata kama ujuzi au hali, yaani nani pia atajitolea kutafuta data kwenye maofisi. so je mko tayari na hio step??

Mkuu kawaida viongozi wengi huwa hwapendi wenyewe ila watu wanaowaona wanafaa huwa ndo wanapendekeza . So usiwe na shida na hilo .Hapa tuna objective kuu mbili kujifunza na kuonyesha kuwa dedicated jf technology members can do something practically. kwa manufaa ya jamii.

So naamin mpaka sasa umepata muda wa kupitia hizo document zilizokuwa atched juu. umesoka risk assesment na analysisi zilizoandikwa. So mpaka sasa tuko member watatu. wewe kama leader, mimi na x-paster.

Kukosaona kurahusiwa ndo kujifunza kwenyewe na kwa kuwa tuna majukumu mengine so n slow project na member wako remote from eachother . face to face kwa sasa ni hapa hapa openly. na electronicaly. Its not a secretive project.

So tunaweza kufanya review kama ilivyo kwa project yeyote inaweza kuwa reviewed. So pendekeza mabadiliko yoyote au hatua yoyote ungependa ifanyike. But anyone can be challnged na awe tayari kutetea challenge zake kwa sound reason.

Usukani ni wako.
 
Mimi niko europe so kila mmoja anitumie skype username yake kwenye pm then tuongee kwanza. Hii project km ikiwezekana baada ya wiki moja iwe tayari hewani
 
Mkuu kama tungekuwa na wazo kama lako nadhani hii project ingeisha siku nyingi. lengo sio tu kununua software ready made na kuuikimbiza online. We need to learn understand the application.

So nadhani mambo ya wiki moja ni Un- realistic.

Nimesoma soma kwenye net kuna link amabzo member wanaweza kutembela au kupendkeza link nyingine ili tujue kuna open souce gani application zinaweza kutusaidia. Toka mwanzo prority yetu tulisema tuweka kwenye opena source.

Aftwer few days of research naona tuaze kujaribu na joomla. Ambayo tutafanyia customisation




  • So napendakeza tutafate tutorial na article za kutuweza kusetup directorty kwa joomla


Kama kuna wadau wanajua solution na application nyingine tukaribishe mawazo yao. ziwe ni za open sourceau hata commericial .

Nawasilisha
 
KAKA KUTOKANA NA HILOSIO MBAYA TUKASIKILIZA NA WADAU WENGINE WANAMAWAZO GANI KUHUSU JOOM JE UNAONGELEA KITU KAMA HICHI AMA - Naomba.com | Get it all!

Sijui nadhani ni kitu kama hicho lakini cha tofauti. ni kitu amabcho kitaweka acess ya contact ya taasisis muhimu na watu binafis online. tatizo naloona website kama hiyo zina majibu ya kibiashara zaidi . hazina majibu ya kijamii. hapo kwenye hiyo website huoni contact sa shule, za polisi, Afisa Elimu afisa Afya wa wilaya au mkoa. Tunataka kitu kama hicho lakini kiweze kujibu maswali kama haya


  • Mtu akizidiwa ghafla mbagala kataka kujua kama kuna dakatari karibu wa kumpa japo ushauri atapata wapi taarifa?
  • Mtu gari yake imepata tatizo ghalfa kawe atajuaje fundi fulani au garage iliyo mitaa hiyo?
  • Mzazi anataka mwanaye asome tution karibu na nyumbani atajuaje kuna mwalimu xyz wa physics mitaa ya karibu.?
  • Unataka kujua mkulima maarufu wa matunda lushoto ili ukachukue matunda moja kwa moja utamjuaje?
  • Niko mkwajuni ndani ndani nataka kupata taxi driver maeneo ya karibu anipeleke mwenge.
  • Prof BBB computer yake imegoma ghalfa upta network ataka kujua kama mitaa anayoihsi kuna mtaalam wa ICT aweze kuja kumtatulia tatizo.
  • mfanyabiashatra ccc anauza nguo karikoo anataka watu wafamu business yake
  • Mwananchi wa jimbo la NNN anataka mbunge au diwani, au DC au RC ajue kero yao . Ni wanagpi wanajua number za kiofisi za wabunge u ofisi ya mkuu wa wilaya au Mkoa.
  • Mwananchi kaombwa rushwa na nesi au dkatari anataka kuwafamisha takukuru wilaya issue yake.

.
Kama hiyo Naomba.com ni kazi yako pia hongera sana mkuu . na unaweza kuiboresha ili iweze kuwa na majibu kama hayo. Mfano uongeze category. Uwezeshe categorise search ya mkoa , au fani au .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom