redSilverDog
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 470
- 77
fanya hizo modification 2zione. labda unipe email yako nikupe zile visio files..
fanya hizo modification 2zione. labda unipe email yako nikupe zile visio files..
hapa ninabaki peke yangu. tutaendelea tu ukirudi utakuta progress.
here is my mofied version
Why dont we treat a [service] as class? then we gonna have the relation that user adds a service.. The system is gonna admin who can delete data? dont u think that is dangerous? i suggest users can admin their own data, it will be better ethical. Then unless therez a sort of violation the the 'below' can serve as a solution:
And may be a separate system to handle admin of the system, or just having a sort of phpMyAdmin thing.
Leader upo?
members and anyone inerested lets do something beofre the project dies.
Tuwasilishe na tushaurinae hapa
Lets do something
- mapendkezo home page itakuwaje ( HTML script)
- Tuwasilehe Database itayohifadhi info za user itakuwaje ( Using CREATE TABLE na MQSQL statement)
- Tuwasilishe Login in form ita takuwaje pamoja na scirpt zake
- Tuwasilishe na regsitraion form amabayo watu watataumi kusajili taarifaza biashara zao, kazi zao au adress zao.
- Na websever provider gani wa free ni wazuri watarushu japo tuingize data chache za kufanyia majaribio.
now tuko Team members 0
- ............Team Leader
- ............Member
- ............ Member
Contributors
...............
...............
...............
Kwa wale ambao wametolewa wanaweza akuendelea kuwa contributors . Tulikubaliana hapa kuwa for 5 consecutive days member hajatoa input yeyote anakuwa automatically out. Nawasilisha.
Leader upo?
members and anyone inerested lets do something beofre the project dies.
Tuwasilishe na tushaurinae hapa
Mkuu kwa mujibu wa sheria tulio jiwekea hapo juu kuwa quote "Tulikubaliana hapa kuwa for 5 consecutive days member hajatoa input yeyote anakuwa automatically out." end of quote, Tukizingatia haki na usawa bila upendeleo utagunduwa kuwa Member wote ambao walihusika kwa njia moja ama nyingine kufanikisha project hii wamejitoa kisheria kwa sababu hawakuchangia chochote kwa siku tano mfurulizo.
Ukiangalia hapo juu, mchango wa mwisho ulikuwa tarehe 9th March 2011, mpaka kufikia tarehe 16th March ni zaidi ya siku sita (6).
Kwa kuzingatia kanuni na sheria Mradi umekufa kwa kukosa wanachama au watendaji...!
Kama mradi utatakiwa kuondelea basi wale wote walio ondolewa wapewe taarifa rasmi ya kurudishwa kwenye mradi na Project ianze upya.
Nawasiliasha.
Mkuu ilikuwa ni makosa kuwaondoa wale wote waliojitolea bila kuwauliza kilicho wasibu ni kitu gani.Xpaster
Unalosema linawezekana lina ukweli lakini ukifutilia kuna task tulipeana tuzikamilishe ndani ya wikii mbili. so tulivyokubaliana kufanya task fulani kwa wiki mbili haina maana ukikaa kimya siku tano baada ya kukubaliana ile task uko OUT.No
Pili wewe ni mmoja wa wanachama ambaye umekuwa inactive na hivyo kuchangia katika kuuweka mahututi huu mradi uliolenega kutufanya tusihubiri tu mambo bali tujaribu kuyafanya kwa vitendo
Pamoja na kuwa mradi uko mahututi teh teh teh bado haujafa na tumejifunza mengi mpaka sasa.
Na kingine sio kweli mradi umekufa kwa kukosa wanachama au watendaji ukweli ni sisi wanachama au watendaji ndio tunaua miradi . sio huu tu. Unless u dont feel responsible wakati wewe ulikuwa mmoja wa member . teh teh teh . This is real life scenario ya challenge na risk inayopitia miradi mingi. Big risk ni watu( Wewe na mimi, na wengineo)
Sasa Nyambulisha na tujipime how much kila moja wa member kawa risk kwenye mradi. mpaka hatua hii.
Au kwa kuwa wewe ulikuwa unasubiri kipindi cha code ebu tuleete properly documented script za login pamoja na login form.
Itapendeza kuona unakuwa mmoja wa wanaopenda kufufua na itasikistiha kuona aliyekuwa member anafurahia kifo cha mradi wake.
Shukranikuona kumbe bado unafuatilia.
Mkuu ilikuwa ni makosa kuwaondoa wale wote waliojitolea bila kuwauliza kilicho wasibu ni kitu gani.
Haya nitajitahidi kuleta hizo code za login.
Usijali tupo pamoja, nishamaliza mitihani sasa, nitakuwa na muda japo kidogo.Nimewaondoa wangapi mkuu sidhani kama ni vizuri kujifurahisha kuwa na idadi ya watu wengi wasiochangia chochote.
Pale nilikosea tu kukutoa wewe na kumucha tabutubu bcs tabutupu alindiika kuwa yuko busy hatawez tena kuchangia vilivyo hivyo akipata nafasi atachangia tu kama mwanachama yeyote. Hilo Ndio kosa nilifanya. Ni kama nilimpendelea tabutupu na kukutoa.
Wewe ulikuwa kimya sana sana mkuu ilo inabidi ukiri . So kimsingi ni kama tulibaki wawili ukifutilia comment vizuri Team lader( Redsilver dog) alisema mashie yake ina matatiz atakuwa offline. Si unaona watu wanavyotoa feedback.
Part nyingine inayochangia kufa kwa project ni Comunication. Mwazoni tuliandika Risk assesment document. Kama umeisoma ile utajua ugumu wa kufanya project watu mkiwa mbali mbali na bado watu hao hawafanyi communication.
But tundeleee hivi vikwazo ni mambo ya kawaida kabisa.