Labda kama nimekosea,si hii inayoitwa TAT?? mmmh kule ni kutiana aibu watu wa IT,hakuna la maana nililoona,kila link underconstruction,hakuna information yeyote ya maana,Mission na vission haviendani na nini website inatoa kazi ni kulist registration fees tu,jamani siasa hadi huku kwetu kwenye It?
angalia viongozi:
1 Dr. Jabiri Kuwe Bakari The Open University of Tanzania Chairman
2 Mr. Mulembwa Munaku Computer Science Department-UDSM Vice Chairman
3 Ms. Elizabeth Mkoba Tanzania Education Authority Executive Secretary
4 Mr. Adam Mambi MKURABITA Vice Executive Secretary
5 Mr. Frank Goyayi
Baada ya kuangalia hawa viongozi nikagundua kitu,IT ya sasa si ile ya miaka 40,IT Expert wa sasa anajua jinsi ya kutumia IT yake ili ikindhi matakwa ya jamii na si tu kuprogram kama ilivyokuwa zamani ndio maana utakuta siku hizi kwenye IT kuna hadi Accounting,OB,Finance nk.
Wito,watu wote wa IT tukae chini tuokoe hili jahazi jamani.