Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,972
- 3,511
Maisha yanabadilika kwa kasi ya ajabu sana, vijana wa kiume wa miaka ya sasa hawako tayari kufa kwa kipigania kutimiza ndoto zao, mwanaume yuko tayari kulelewa na Jimama au ajuza kusudi tu apate urahisi wa maisha na kutelekeza mke wake pamoja na watoto hii ni aibu sana hasa kwa vijana waliozaliwa miaka ya 1986 kuendelea mpaka 2000s.
Mwanaume kuchelewa kuoa kisa unaogopa maisha tayari unakosa sifa ya kua mwanaume, haiwezekani mwanaume unashindwa kuvumilia njaa kwa usiku mmoja huo ni utoto.
Mwanaume unatakiwa kupambana usiku na mchana kufikia ndoto zako ata kama itatokea ukatengwa na Ndugu, marafiki, wazazi au hata kupoteza uhai huo ndio uanaume.
Nawasikitikia wanawake sana kwani wengi wao wanaolewa na mwanaume wenye sifa na tabia zisizo za kiume, mwanaume yuko tayari kutelekeza familia bila taarifa yeyote na kutokomea kusikojulikana.
Kuwa mwanaume sio kua na uume tu pia maamuzi ya kiume ya kuweza kukomboa familia, jamiii na taifa lako huo ndio uanaume.
Mwanaume wa kileo kazi kujichubua, kuchonga nyusi na kupaka rangi kucha aseee aibu kweli, mwanaume anajipodoa kuliko mwanamkee Hatari tupu.......wakina Dada please jitahidini kuchagua mwanaume sio kukubali mtu tu kwa muonekano sijui urefu wake ama rangi utakuja kujutia pindi mambo yanakuwa magumu na unahitaji faraja na msaada wa mwanaume kumbe ulienae ana uume tu sio mwanaume.......
Nawaza kama wakoloni wangelikuako bado mpaka Leo hii watanzania waleo walivyowaoga tusingelipata Uhuru kamwe.
Leo hii unakuta mwanaume anaogopa kwenda JKT huu si upumbavu kabisa na wazazi wake wanamuunga mkono......
Wimbo wa Diamond platnumz wa Nitarejea una maneno yenye kuhamasisha uanaume kuna haja ya serikali kubadili mitaala ya elimu kusudi tupate wakina Patrice Lumumba, Thomas Sankara, Paul kagame, Museven, Vladimir putin na wakina Che uvara wengine wengi katika jamii yetu ya Leo.
Mwanaume wa Leo anakwama kodi anaandika Uzi jf, anakwama msosi kwa siku anakimbilia kuanzisha Uzi, mtu unakwama kumlipia mtoto ada ya 2m wa darasa la pili unalia kwanini usimpeleke shule za serikali?? Itafika kipindi mwanaume wataanza kuomba michango kusudi wakalipe mahari ukweni ..........huuu ni upuuzi sana........
Mwanaume hataki kazi za suluba kuamka SA 11 asubuhi anaona kero kwa halii hii kweli tutafika tunakotaka, madhara yake ndio mwanaume kutaka kuwa wanwake hatari tupu.......
Yajayo yanasikitisha sana. ITS HARD TO BE A MAN.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume kuchelewa kuoa kisa unaogopa maisha tayari unakosa sifa ya kua mwanaume, haiwezekani mwanaume unashindwa kuvumilia njaa kwa usiku mmoja huo ni utoto.
Mwanaume unatakiwa kupambana usiku na mchana kufikia ndoto zako ata kama itatokea ukatengwa na Ndugu, marafiki, wazazi au hata kupoteza uhai huo ndio uanaume.
Nawasikitikia wanawake sana kwani wengi wao wanaolewa na mwanaume wenye sifa na tabia zisizo za kiume, mwanaume yuko tayari kutelekeza familia bila taarifa yeyote na kutokomea kusikojulikana.
Kuwa mwanaume sio kua na uume tu pia maamuzi ya kiume ya kuweza kukomboa familia, jamiii na taifa lako huo ndio uanaume.
Mwanaume wa kileo kazi kujichubua, kuchonga nyusi na kupaka rangi kucha aseee aibu kweli, mwanaume anajipodoa kuliko mwanamkee Hatari tupu.......wakina Dada please jitahidini kuchagua mwanaume sio kukubali mtu tu kwa muonekano sijui urefu wake ama rangi utakuja kujutia pindi mambo yanakuwa magumu na unahitaji faraja na msaada wa mwanaume kumbe ulienae ana uume tu sio mwanaume.......
Nawaza kama wakoloni wangelikuako bado mpaka Leo hii watanzania waleo walivyowaoga tusingelipata Uhuru kamwe.
Leo hii unakuta mwanaume anaogopa kwenda JKT huu si upumbavu kabisa na wazazi wake wanamuunga mkono......
Wimbo wa Diamond platnumz wa Nitarejea una maneno yenye kuhamasisha uanaume kuna haja ya serikali kubadili mitaala ya elimu kusudi tupate wakina Patrice Lumumba, Thomas Sankara, Paul kagame, Museven, Vladimir putin na wakina Che uvara wengine wengi katika jamii yetu ya Leo.
Mwanaume wa Leo anakwama kodi anaandika Uzi jf, anakwama msosi kwa siku anakimbilia kuanzisha Uzi, mtu unakwama kumlipia mtoto ada ya 2m wa darasa la pili unalia kwanini usimpeleke shule za serikali?? Itafika kipindi mwanaume wataanza kuomba michango kusudi wakalipe mahari ukweni ..........huuu ni upuuzi sana........
Mwanaume hataki kazi za suluba kuamka SA 11 asubuhi anaona kero kwa halii hii kweli tutafika tunakotaka, madhara yake ndio mwanaume kutaka kuwa wanwake hatari tupu.......
Yajayo yanasikitisha sana. ITS HARD TO BE A MAN.
Sent using Jamii Forums mobile app