Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,546
- 22,981
sema aya mambo jaman ni vile tushazoea masikhara😄
huu mtaa naoishi, kuna kijana alikua anaweka status," DEPRESSION," akatunga ad wimbo akauita"DEPRESSION," aaah nani amzingatie bwan.
Kila mmoja akaona ni kawaida na kuendelea na mishe zake, alikua akiishi na bibi ake,,siku io karud kamwambia "bibi naomba nifulie hiz nguo,kuna sehem nataka niende.
Bibi akazipokea amfulie mjukuu wake,bila kujua anataka kwenda wapi.Sasa bibi kakaa mda mrefu kijana hatoki, kwenda kumgongea hafungui.
Bibi akahisi hatari,piga kelele watu kwenda kuvunja mlango,,,,,lahaulaaaaa😱 kijana KAJINYONGA.
Basi tukamzika.
huu mtaa naoishi, kuna kijana alikua anaweka status," DEPRESSION," akatunga ad wimbo akauita"DEPRESSION," aaah nani amzingatie bwan.
Kila mmoja akaona ni kawaida na kuendelea na mishe zake, alikua akiishi na bibi ake,,siku io karud kamwambia "bibi naomba nifulie hiz nguo,kuna sehem nataka niende.
Bibi akazipokea amfulie mjukuu wake,bila kujua anataka kwenda wapi.Sasa bibi kakaa mda mrefu kijana hatoki, kwenda kumgongea hafungui.
Bibi akahisi hatari,piga kelele watu kwenda kuvunja mlango,,,,,lahaulaaaaa😱 kijana KAJINYONGA.
Basi tukamzika.