1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
Ukitumia application video zinaplay bila kuziruhusu,, ila ukiingia kwa kutumia website yao moja kwa moja,, utakuwa huru ku play video au lah,, issue ni bando sio kuingia,Utofauti upo wapi mana kote ni insta umeingia