luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 850
- 1,403
Wakuu kwema? Naombeni msaada wenu katika hili.
Mimi ni dereva Uber nimejichanga nimefikisha 6 million nataka kumiliki gari yangu kwa ajili ya biashara nikiisimamia mwenyewe.
Kaka zangu na dada zangu, ambaye anaweza kuniuzia gari yake anisaidie. Pesa yangu ni ndogo nafahamu lakini pia mtu anaweza kunipa then nikammalizia kwa installment kiasi kitakachokuwa kimebaki.
PM wazi!
Asanteni.
Mimi ni dereva Uber nimejichanga nimefikisha 6 million nataka kumiliki gari yangu kwa ajili ya biashara nikiisimamia mwenyewe.
Kaka zangu na dada zangu, ambaye anaweza kuniuzia gari yake anisaidie. Pesa yangu ni ndogo nafahamu lakini pia mtu anaweza kunipa then nikammalizia kwa installment kiasi kitakachokuwa kimebaki.
PM wazi!
Asanteni.
