Duh, unashindwa kujua gari lako linatumia mafuta kiasi gani?! Gari la mwaka gani hilo!
Mkuu si umjibu tuu kama unajua? Kumbuka utawasaidia na wengine wasiojua na hawajapata nafasi ya kuuliza
Duh, unashindwa kujua gari lako linatumia mafuta kiasi gani?! Gari la mwaka gani hilo!
Wana JF, Nina IST CC 1490, Mileage 89000km, Nilisafiri toka Mwanza to Dar ikaanza tatizo la kutumia mafuta zaidi ya kawaida yake, ilikua inatumia 16km/litre lakini sasa hivi inaenda hadi 8km/litre. Nimefanya yafuatayo lakini bado tatizo; nimebadili engine oil na gearbox oil, nimetoa plugs nikaweka mpya, nimesafisha nozels, air filter na oil filter.
Nisaidieni jamani nifanye nini zaidi ili irudi kama zamani? Nafilisika mie.
Chacha tusaidie IST inaweza kuwa na 4WD?
hivi spacio new model mpya ni shingapi
Mpya kibongo bongo, 10-12M
Mkuu si umjibu tuu kama unajua? Kumbuka utawasaidia na wengine wasiojua na hawajapata nafasi ya kuuliza
Duh, unashindwa kujua gari lako linatumia mafuta kiasi gani?! Gari la mwaka gani hilo!
Mkuu Ushirombo, kashughulikie yafuatayo:-
1. Angalia tenki la mafuta kama lina unyevunyevu. Kama linao basi linavujisha mafuta.
2. Angalia mfuniko wa tenki? Unafunga vizuri? Ni vizuri ubadilishe au badilisha seal zake
3. Kagulia pipes za mafuta kutoka kwenye tenki na kurudi kwenye tenki pamoja na fuel rail. Hakikisha hazina unyevunyevu wa kuvujisha mafuta
4. Angalia 'Charcoal Canister' kama inafanya vizuri
5. Cheki pipe ya kutoka kwenye 'Charcoal Canister' to intake manifold kama imechomekwa vizuri
6. Nozzles kama zina muda mrefu zibadilishe. Kusafisha haisaidii na zenyewe huwa zinachoka
7. Hakikisha spark plugs zako zote zinachoma
8. Badilisha Oxygen sensors
9. Safisha throttle body yote kwa sababu carbon deposits huwa inajaa ndani yake hivyo kuziba hewa kuingia kwenye combustion chambers
10. Hakikisha Overdrive button ipo 'ON'
11. Hakikisha Crankase ventilation System inafanya kazi vizuri (PCV pipes na PCV valve hazijaziba)
Ukishayafanya hayo rudi utupe maendeleo Mkuu.
Chacha tusaidie IST inaweza kuwa na 4WD?
Mkuu kwani ukinielimisha bila kunikejeli unapungukiwa nini?
aji
Kadanga-13:23 Today-
Ninauza mashine yenye uwezo wakusaga tani mbili za chupa na tani tano za plastic ngumu mfano ndoo, madumu nk . bei sh.6,000,000 si hitaji dalali. Contact:0715185333
Reply
Umewahi kuendesha gari?!
Mkuu si umjibu tuu kama unajua? Kumbuka utawasaidia na wengine wasiojua na hawajapata nafasi ya kuuliza
Mkuuu hapo kwenye namba 10 paliwahi nisumbua miaka 10 iliyopita, nilipopata ushauri mpaka sasa gari zangu zinanusa fuel tu.
Vile vile kwa kuwa alikuwa highway bila shaka alizidi mwendo kasi zaidi ya 100km/h na inafahamika ulaji wa mafuta unakuaje chini na juu ya 100km/hr
kibongo bongo ! ukiagiza ni shi ngapi na huchukua mda gani. kuchukulia bongo au kuagiza kipi bora
Chacha tusaidie IST inaweza kuwa na 4WD?
Zipo chache, hata cc 660 ist zipo