Issue sio Madini, Migodi, Rasilimali, Je vinasaidia nini Wananchi?

Issue sio Madini, Migodi, Rasilimali, Je vinasaidia nini Wananchi?

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
2,563
Reaction score
7,321
Mdau mmoja akiwa nchi za nje ameshangazwa na namna ubora wa miundo mbinu ilivyo huko Ulaya, licha ya kwamba hakuna Rasilimali za kutosha ukilinganisha na nchi za Africa.

Amesema kuwa nchi nyingi za Afrika zinatabia ya kujigamba kuwa na madini na Rasilimali nyinginezo, lakini hakuna zinachowasaidia wananchi. Licha ya kuwa na Rasilimali nyingi lakini miundo mbinu ni mibovu na elimu bado ni mbovu. Na viongozi kila siku wanaimba nyimbo zilezile tuna Rasilimali, sijui madini lakini wakiambiwa ukweli kuwa zinawasaidia nini wananchi basi wananuna au kuchukia

 
Wachumia tumbo ndivyo walivyo, hasa hapa shambani kwa bibi kunachekesha sana na kutia hasira vyote kwa pamoja.
 
NI SAWA NA CONGO AU SUDAN ;BARAKA ZA AFRICA NI LAANA IN DISGUISE
 
MAENEO YOTE YENYE MADINI,RASILIMALI NDIO MAENEO YENYE UMASKINI MKUBWA
Shida ni watawala

Nchi kama Sweden unakuta hazina Rasilimali kama TZ ila miundo mbinu yao ni bora
 
Mdau mmoja akiwa nchi za nje ameshangazwa na namna ubora wa miundo mbinu ilivyo huko Ulaya, licha ya kwamba hakuna Rasilimali za kutosha ukilinganisha na nchi za Africa.

Amesema kuwa nchi nyingi za Afrika zinatabia ya kujigamba kuwa na madini na Rasilimali nyinginezo, lakini hakuna zinachowasaidia wananchi. Licha ya kuwa na Rasilimali nyingi lakini miundo mbinu ni mibovu na elimu bado ni mbovu. Na viongozi kila siku wanaimba nyimbo zilezile tuna Rasilimali, sijui madini lakini wakiambiwa ukweli kuwa zinawasaidia nini wananchi basi wananuna au kuchukia

View attachment 3519671
Chawa wakiongozwa na mwigulu ndiyo mazwazwa wanaotumia lugha ya kipumbavu eti tunaonewa wivu, kwa lipi? Kuwa na. viongozi waongo na machawa? Kuwa na viongozi wezi?
Kuwa na viongozi wauaji?
Kuwa na viongozi wanaojipendelea?
Shame on them!
 
Back
Top Bottom