usishangazwe mzee! issa michuzi ni mpiga picha wa gazeti la shirika la serikali daily news! kwahiyo huenda popote mkuu wa nchi anapoenda lazima gazeti la serikali liwepo. kuhusu yeye kutumia hizo nafasi kufanya vitu vingine i think is unfair critisim,, hata wewe ukienda kwenye mkutano mbagala baada ya mkutano kama kuna ndugu zako utatumia wasaha kwenda kuwatembelea, issa michuzi ni ndugu wa wa tanzania wote ughaibuni.mwisho ratiba ya rais ina a lot of unofficial hours which doesnt need watu wasiotoka in the goverment to be with president,in which michuzi he in not government official
sasa ndio itabidi umueleze mwenzio, Bwa hahaha
Kwa hiyo kumbe naruhusiwa kuwafuata nyote wawili ? lol
you are just sick, your name tells it all
Sasa mnataka kuchemka, kama mmekosa thread za kuanzisha bora mtafute wimbo mmoja hapa tuujadili.
Hiyo lugha ya vekesheni ni humour anayoitumia michuzi kama msanii katika fani ya ku-blog. Kama unashangaa kutumia vekesheni mbona huulizi kwanini anajiita ''nanihii'', au unadhani ana jina?
Inaniuma sana mimi na ma phds yangu sipati safari kama michuzi ndio maana naiunga mkono hii thread
...mwisho ratiba ya rais ina a lot of unofficial hours which doesnt need watu wasiotoka in the goverment to be with president,in which michuzi he in not government official
Sasa mnataka kuchemka, kama mmekosa thread za kuanzisha bora mtafute wimbo mmoja hapa tuujadili.
Hiyo lugha ya vekesheni ni humour anayoitumia michuzi kama msanii katika fani ya ku-blog. Kama unashangaa kutumia vekesheni mbona huulizi kwanini anajiita ''nanihii'', au unadhani ana jina?
Uwiano Maalum,
This is the classic "Freudian Slip". Most of us know that Michuzi is a sorry excuse for a clown, lakini this time katika ku clown huku na kuita safari ya nje iliyo katika vocation yake kuwa ni vacation, ame expose ukweli kwamba huko wanakoenda hamna wanachofanya zaidi ya vacation.
I would love this to be a case of a succintly eloquent "Shakespearean Fool" exposing the illdoings of the ruling class in a tragicomic way, but the reality is Michuzi can hardly be said to posses such sophistication.Sometimes the truth cannot be bottled and pressures simpletons such as Michuzi into "Freudian Slips" such as this.
Trouble is, this "dramatic irony', indeed a gem, is wasted on a lot of us.
Bigger trouble is, if the president is surrounded by clowns like these it sort of give you an idea of how much of a clown this very same president must be.
Hiyo ni kawaida ya wazee wa ligi za kombe la mbuzi. Just chiiiiill.Sorry... BUt i think you have gone too far mazee
wewe nae.......unajua maudhui ya blog ya michuzi? ile ni blogu yake ana mamlaka ya kuinndesha anavyotaka....mra ngapi kila anaposafiri anasema yuko vekesheni sio lazima aandike wewe unavyotaka aandike.... jamani hii ni very low kwa JFinian.....Uwiano Maalum,
This is the classic "Freudian Slip". Most of us know that Michuzi is a sorry excuse for a clown, lakini this time katika ku clown huku na kuita safari ya nje iliyo katika vocation yake kuwa ni vacation, ame expose ukweli kwamba huko wanakoenda hamna wanachofanya zaidi ya vacation.
I would love this to be a case of a succintly eloquent "Shakespearean Fool" exposing the illdoings of the ruling class in a tragicomic way, but the reality is Michuzi can hardly be said to posses such sophistication.Sometimes the truth cannot be bottled and pressures simpletons such as Michuzi into "Freudian Slips" such as this.
Trouble is, this "dramatic irony', indeed a gem, is wasted on a lot of us.
Bigger trouble is, if the president is surrounded by clowns like these it sort of give you an idea of how much of a clown this very same president must be.
Inaniuma sana mimi na ma phds yangu sipati safari kama michuzi ndio maana naiunga mkono hii thread
wewe nae.......unajua maudhui ya blog ya michuzi? ile ni blogu yake ana mamlaka ya kuinndesha anavyotaka....mra ngapi kila anaposafiri anasema yuko vekesheni sio lazima aandike wewe unavyotaka aandike.... jamani hii ni very low kwa JFinian.....
ndio maudhui ya blog yake......na watu watu wanapenda.....au mazee wivu nini?teh teh ..ataanza kukuletea kingereza chake cha dictionary sasa ivi.olololo
Kila mmoja ana nafasi yake na kuna mambo unapata ambayo michuzi hatakaa apate, kila mtu na nafasi yake
Vipi kuhusu truck drivers? they travel alot... do you like to be one?
ok, hii kitu technically inaitwa kijiba-cha-roho (KCR)ndio maudhui ya blog yake......na watu watu wanapenda.....au mazee wivu nini?
misiuzi ipi? yaani wewe ni very low......Jamani Watanzania, hebu tufunguke macho. Hakuna anayeona kwamba hapa kuna misuse of resources.