Israelis laugh about Iran nukes, government threat

Israelis laugh about Iran nukes, government threat

Mimi nta andika kiswahili hili watu waelewe mambo fulani ambayo huwa hayasemwi na western media, ambazo idadi kubwa ya media hizo ni mali ya Wayaudi. Wakati mwingine huwa najiuliza hivi wa Israel wangekubali ku-settle Uganda kama walivyo kuwa wameshauliwa na Word Community (league of nation), nini kingetokea kwa sisi tunaotoka kanda ya ziwa - tungekuwa tumekwisha fukuziwa mbali. Mtu huwezi kuamini kwamba watu walio onewa huruma dunia nzima baada ya vita kuu ya pili ya dunia wangekuwa na ubavu wa kuwageuka binadamu wenzao kwa kuwachinja kama kuku, kuwanyanganya aridhi yao bila simile na hawajali chochote wala kushaulika; watasema lolote kudanganya dunia hili mradi watimize malengo yao, niliwahi kusoma Historia ya Hitler tangu yuko mtoto mdogo mpaka anaigia jeshini na baadae kuwa Mkuu wa nchi kwa kupigiwa kura, kuna mambo alikuwa anaelezea kuhusu wenzetu hawa, na wala sikushangaa kilichokuja tokea baadae.
.

Mkuu, habari yako imekosa mvuto na mshiko. Inafahamika wazi kuwa hao Wapalestine walialikwa kule Jordan, nategemea unaelewa na mabaya gani walifanya kule. Hivi nipo andika hii post, hawatakiwi kule kabisaa. Jordan Expels the PLO in 1970 | Palestine Facts.

Sasa baada ya kusoma hiyo annex nategemea umewaelewa hao wapalestina.
 
Sasa Walibya wana uhusiano gani na Wapalestina?

Walibya kama walivyo wa palestna ni waarabu, arabs are all same like other arabs as westerns are all the same. Kama mlibya treats a black person like trash hata mpalestna will do the same
 
Walibya kama walivyo wa palestna ni waarabu, arabs are all same like other arabs as westerns are all the same. Kama mlibya treats a black person like trash hata mpalestna will do the same

Libya haijawahi kuwa na historia ya kuwabagua blacks, tunachokiona sasa ni matunda ya NATO kudhalilisha ile concept ya Gadafi ya kuifanya Africa kuwa moja.
 
Libya haijawahi kuwa na historia ya kuwabagua blacks, tunachokiona sasa ni matunda ya NATO kudhalilisha ile concept ya Gadafi ya kuifanya Africa kuwa moja.

Rafiki yangu unaongea usilo lijua mimi mwenyewe niliwai kaa libya week 3 najua ninaloongea.
Gadaf labda ndiye aliwathamini waafrika lakini si wananchi wake I have been there na they call dark skined people masikin
 
Mkuu, habari yako imekosa mvuto na mshiko. Inafahamika wazi kuwa hao Wapalestine walialikwa kule Jordan, nategemea unaelewa na mabaya gani walifanya kule. Hivi nipo andika hii post, hawatakiwi kule kabisaa. Jordan Expels the PLO in 1970 | Palestine Facts.

Sasa baada ya kusoma hiyo annex nategemea umewaelewa hao wapalestina.

Umenishangaza na analogy isiyo na mshiko. Kwa maana yako ukimbizi wa wapalestina ulioassisiwa na Israel, USA, na UK una uhalali kuliko holocaust?
 
Rafiki yangu unaongea usilo lijua mimi mwenyewe niliwai kaa libya week 3 najua ninaloongea.
Gadaf labda ndiye aliwathamini waafrika lakini si wananchi wake I have been there na they call dark skined people masikin

Inashangaza mimi nimekaa miezi 11, ubaguzi huo sikuuona. Na kama hali hiyo ingekuwepo ni wazi vyombo vya habari vingeripoti. Au unipe ushahidi. Ukweli huu ni mpango wa NATO ndio maana nato mpaka sasa haivikemei vitendo hivyo, Kama kweli NATO ilienda kulinda binadamu je hawa wanaoteswa na kuuliwa na washirika wao NTC kwanini haichukui hatua au hata kukemea tu?
 
I wish to bet on this. Everything is clear. Wawe taifa la Mungu wasiwe watu wa Mungu, for this era they are untouchble until then. Hitler thing was a trial, a failed trial. Till the real happen, not from Muslim world.
 
kweli huyu atakupotezea tyme yako lakini usiachane na hawa maana hawakupotezei time yako



naamimi nawe pia umeshaangalia-maana naona umekuwa ukifatilia haya mambo kwa ukaribu sana
 
Last edited by a moderator:
Bukyanagandi inaonesha huijui kabisa historia ya mashariki ya kati, kasome kwanza halafu ndio uje utoe maada.
 
Lakini Iran ndiyo walio apa kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, au nayo ni propaganda za western media? Kwa hiyo tuseme Israel wao hawana haki ya kujilinda?

Unataka kutuambia Warusi ndio waliokuwa wanapigana Australia, Indonesia, Burma, France, Misri (kumbuka vita kuu ya pili ilipiganiwa pia kwenye nchi hizo ukiachilia mbali Uingereza USA na Urusi kwenyewe)? Warusi walipigana kulinda nchi yao tu na eneo la Ulaya mashariki, huko kwingine wala hawakwenda. Sasa utasemaje kuwa Warusi ndio waliompiga Hitler?

Mkuu nakuomba usome nilicho andika kwa makini, hapa tunazungumzia kuhusu Israel na kilicho tokea kwenye concentrations camps huko Ujerumani. World Community ilibidi kuwatafutia Wayaudi nchi ya kuishi baada ya vita kuu ya pili hili kuepusha mambo kama hayo kuwatokea tena. Mimi sijazungumzia chochote kuhusu mapigano katika bahari ya Pacific na wala sijasema kwamba vita ya pili ya dunia ilipiganiwa Ulaya tu, soma kwa makini nilicho andika sikusema Warusi pekee ndiyo walimpiga Hitler, nilisema majeshi yaliyo fanikiwa kuvunja uti wa mgongo wa jeshi la Kijerumani ni Warusi! Topic hapa ni kilijo jili kati ya Wayaudi na Wajerumani (Hitler) na kuhundwa kwa dora la Israel usifikili sijuhi kilicho kuwa kinaendelea kati ya Wajapan na Wamerikani, Wamerikani walijiuna/ingia vitani baada ya kuchokozwa na Wajapani, lakini hawakuwa na mpango wa kujiunga na vita vya ULAYA,walikuwa wanatoa misaada tu mpaka walipo chokuzwa. Na wala sikuwahi kusoma popote kwamba Wajerumani waliwahi kwende kupigana PACIFIC kwa hiyo ni obvious kwamba Mataifa mengine yalihusika, sasa tatizo liko wapi; tunazungumzia mapigano ya Ulaya.

Nimesema nguvu kubwa ya jeshi la Wajerumani ilimalizwa na Warusi, na siyo kweli kwamba Warusi shida yao ilikuwa ni kukomboa nchi yao na Ulaya ya Mashariki, nia yao ilikuwa kukomboa Ulaya nzima majeshi yao ndiyo yalikuwa ya kwanza kukanyaga aridhi ya Ujerumani na kuteka makao makuu ya Hitler, nguvu walizo kuwa nazo Warusi wakati huo walikuwa hawaitaji msaada wowote kuikomboa Ulaya NZIMA, Wamerikani na Waingereza waliweza kuingia Continental Europe kirahisi baada ya jeshi la Wajerumani kuhishiwa nguvu kwa sababu ya kupeleka resources nyingi kwenye war front ya Urusi na kupigwa kweli kweli na Warusi, tuwe wakweli katika hili. Pili ikumbukwe kwamba Urusi ilikwisha tayarisha majeshi yake kuivamia Japan ili kuilazimisha Japan kuachana na vita, Wamerikani walipata taharifa kuhusu mpango huo ndiyo maana walifanya haraka haraka kuangusha mabomu ya Nuclear Japan hili Warusi wasiende huko, ingawa Wamerikani wanasemaga adithi nyingine lakini ukweli nikwamba walitaka kuwadhitibi Warusi.

Haya mambo ya Rommel na Montigommary kufukuza kama paka na panya Misri na Libya (Sahara desert) hiyo ilikuwa danganya toto tu, huwezi kulinganisha na kasheshe iliyokuwa inaendela kati ya Majeshi ya Wajerumani na Warusi huko Ulaya na vile vile majeshi ya Merikani na Japan kwenye bahari ya Pacific.

Mwisho labda niseme kwamba sijasema kwamba Isreal haina haki ya kujilinda, kila nchi ina haki ya kujilinda lakini awana haki ya kupora aridhi ya watu wanyonge na kuwafanya wawe wakimbizi katika nchi yao ya kuzaliwa na kuleta vurugu tu duniani, wanashindwa nini kukaa chini na wanzao wakamaliza matatizo yao kidiplomasia bila ya kuwa obsssed na VITA. Labda nikuhulize swali, kwani wewe hujui kwamba majority ya news MEDIA za West wamiliki wao wakubwa ni Wayaundi - mtu utategemea nini katika hilo, mimi siamini kwamba Adamdejjan ana nia thabiti ya eti kuimaliza Israel, hizo ni propoganda za kuikumbusha dunia kwamba Wapalestina walifurumishwa kwenye nchi yao bila huruma, wengi wao wamezaliwa kwenye kambi za wakimbizi, kwani hao si binadamu - kwa nini Israel haikubali kuishi na wenzao side by side hili kuifanya DUNIA ipumue kidogo na AMANI, kama wange kuwa serious kuelewana na wa ARABU haya mambo ya terrorism yangepungua sana, kwani wao hilo awalioni-the World needs Joe, Joe, Joe not war, war,war.
 
Mkuu, habari yako imekosa mvuto na mshiko. Inafahamika wazi kuwa hao Wapalestine walialikwa kule Jordan, nategemea unaelewa na mabaya gani walifanya kule. Hivi nipo andika hii post, hawatakiwi kule kabisaa. Jordan Expels the PLO in 1970 | Palestine Facts.

Sasa baada ya kusoma hiyo annex nategemea umewaelewa hao wapalestina.

Mkuu ni vizuri ku-quote in full hili flow ya uchangiaji wangu hili ueleweke vizuri na siyo kuchukua bits and pieces ya mchango wangu kwa madhumuni ya kupoteze lengo. Nataka kukumbusha kwamba Wapalestina asili yao ni Palestina siyo Jordan, sasa unaweza kueleza watu ilikuwaje watu waliyo zaliwa katika nchi ya Palestina wakajikuta kwenye makambi ya wakimbizi wa Jordan! Jibu unalo. Pili unaweza kunieleza ni kwa nini Wayaudi walikuwa awapendwi/wanachukiwa sana kule Ujerumani wakati wa ERA ya Hitler mpaka wakafanyiwa ukatili-je unafikili magazeti ya Hitler na Joebells ya wakati huo yalikuwa yanaeleza DUNIA mambo gani ya uzushi kuhusu WAYAHUDI? Tukirudi adithi za hapo juu kuhusu PLO kufukuzwa Jordan mwaka 1970 and the so-called Palistine facts; inategemea ni nani ali-post habari hiyo na alikuwa anatoka kwenye News Agency gani na alikuwa na madhumuni GANI-kumbuka wamiliki wakubwa wa NEWS MEDIA ni WAYAHUDI, kama ndiyo hivyo mtu utategemea nini kuhusu stori nzima - BIAS.

JK aliwahi kusema akili za kuambiwa changanya na za kwako, mtu usitegemee magazeti ya west kuandika mambo mazuri kuhusu Wapalestina au kuwaonea huruma. Jamani katika uchangiaji wetu tunapashwa kuwa na staha tukianza kuandika maneno ya kijiweni eti "habari imekosa mvuto na sijuhi mshiko" watu watahanza kufikili tuna childish mentality! Mimi nilitegemea wana JF ni watu wastaarabu, hapa tunabadilishana mawazo na kuelimishana basi not name calling. Regards.
 

BILA YA IISRAEL DUNIA isingekuwa salama. wameliteketeza group la magaid wa Black september ambao walikuwa wana nguvu na wasomi zaidi ya Al Qaida mwaka 1972. wamechinja wapalestina wote hatari ambao walikuwa mabingwa wa kuteka nyara kina George habas, Nawatif Hawatmeh, mohamed Dowwda, Abou Daud, Mohamed Boudia na Mohamed hamshiri.

Iran na wa Iran wanajua kuwa yaliyowakuta wajapan pale hiloshima na Nagasaki ndiyo yatakayowakuta wao wakati wowote ule wiki Ijayo. Kila kitu kishawekwa Ila bado kulipua tuu na kuwalipua wa Iran.

Maana Iran kaachiwa kuengeneza marocket tuu naye katumia mwanya huo kuwapatia Hisbollah na Hamas. Leo nani atakubali kuona Maadui wa Israel kama Hisbollah na Hamas wanapata Nuklia bombs tena kutoka kwa Iran?

Mnaoitakia heri mbaya Israel jiandaeni kulia tena wiki Ijayo saa tisa usiku wakati watoto na wajukuu wa Yakobo watakapo waliza tena.
 
Nyerere alitumia umwamba kuwalazimisha watanzania kuwapenda wapalestina. Aliweka palestina Day na kutaka kila mtanzania ashuhudie wiki hiyo ili kiongozi wa wapalestina aje nchini na atukane wayahudi. Plalestina day ilikuwa inafanyika kila novembea katika mikoa ambayo ina wakristo wengi kama Mwanza mbeya na kwingineko .

Baada ya kufa kwa ujamaa na kujitegemea hii sherehe ya palestina day ikatoiweka ghafla bin vuu. hapo ndipo utajua kuwa mahala popote penye udikteta ndipo palikuwaga na urafiki na palestina. sasa watanzania tupo huru na wakristo tumerudisha uhuru wetu wa kuipenda Israel na wana wa Yakobo bila kutingwa tena na umwamba wa nyerere.
 
BILA YA IISRAEL DUNIA isingekuwa salama. wameliteketeza group la magaid wa Black september ambao walikuwa wana nguvu na wasomi zaidi ya Al Qaida mwaka 1972. wamechinja wapalestina wote hatari ambao walikuwa mabingwa wa kuteka nyara kina George habas, Nawatif Hawatmeh, mohamed Dowwda, Abou Daud, Mohamed Boudia na Mohamed hamshiri.

Iran na wa Iran wanajua kuwa yaliyowakuta wajapan pale hiloshima na Nagasaki ndiyo yatakayowakuta wao wakati wowote ule wiki Ijayo. Kila kitu kishawekwa Ila bado kulipua tuu na kuwalipua wa Iran.

Maana Iran kaachiwa kuengeneza marocket tuu naye katumia mwanya huo kuwapatia Hisbollah na Hamas. Leo nani atakubali kuona Maadui wa Israel kama Hisbollah na Hamas wanapata Nuklia bombs tena kutoka kwa Iran?

Mnaoitakia heri mbaya Israel jiandaeni kulia tena wiki Ijayo saa tisa usiku wakati watoto na wajukuu wa Yakobo watakapo waliza tena.

Kweli ushabiki wa kipuuzi hauna bei
 
BILA YA IISRAEL DUNIA isingekuwa salama. wameliteketeza group la magaid wa Black september ambao walikuwa wana nguvu na wasomi zaidi ya Al Qaida mwaka 1972. wamechinja wapalestina wote hatari ambao walikuwa mabingwa wa kuteka nyara kina George habas, Nawatif Hawatmeh, mohamed Dowwda, Abou Daud, Mohamed Boudia na Mohamed hamshiri.

Iran na wa Iran wanajua kuwa yaliyowakuta wajapan pale hiloshima na Nagasaki ndiyo yatakayowakuta wao wakati wowote ule wiki Ijayo. Kila kitu kishawekwa Ila bado kulipua tuu na kuwalipua wa Iran.

Maana Iran kaachiwa kuengeneza marocket tuu naye katumia mwanya huo kuwapatia Hisbollah na Hamas. Leo nani atakubali kuona Maadui wa Israel kama Hisbollah na Hamas wanapata Nuklia bombs tena kutoka kwa Iran?

Mnaoitakia heri mbaya Israel jiandaeni kulia tena wiki Ijayo saa tisa usiku wakati watoto na wajukuu wa Yakobo watakapo waliza tena.

Swali la kujiuliza hapa ni hili: Ni kitu gani kinamfanya binadamu kubadilika na kuanza kufanya mambo ya kutisha bila huruma? Ni kitu gani kilihibua kundi la radicals kama Black September, Habash na wenzake; haiwekazi out of the blue watu wakafikia hatua ya kijitoa muhanga bila sasabu za msingi. Dunia ikifumbia macho kiini cha tatizo bila ya kikitolea ufumbuzi wa kudumu hakuna atakaye kuwa salama si Wayahudi wala watu wengine wasiyo na hatia.

Wewe unasema bila Israel Dunia isingekuwa salama, usijidanganye mkuu ebu niambie leo kumetokea nini Ufaransa - msikilize jamaa aliye fanya mahuaji ana ujumbe gani, amezungumza kwa njia ya simu na steisheni moja Uingereza sababu za kufanya mauaji ya kutisha, mtu mwenyewe ni kijana wa miaka 24 tu. Mpaka saa hizi amejifungia kwenye FLAT- amekili kwamba ndiye anaye husika na mauaji, si hilo tu ameongezea kwamba given a chance angeua tena.

Tukumbuke kwamba Black September na akina Habash walikuwa vinara wa miaka ya sabini, je huyu wa DOT COM kaibuka kutoka wapi, sasa ni usalama gani unao uzungumzia umeletwa na Israel Duniani; tuwe wawazi kwamba bila ya kuwepo taifa la Wapalestina hapatakuwepo amani Duniani, na wala amani ailetwi na F-16, vifaru wala mabomu ya Nuclear au Mossad - amani ya kweli inaletwa kwa mazungumzo na kuheshimiana siyo mambo ya kudhalau wenzako.
 
duh! yaani haujamwelewa mwandishi!!!! kazi ipo tena kubwa.

Mkuu, what he/she construed has nothing to do with Palestine. Palestines are Arabs contrast to Libyans who are Africans.
 
Walibya kama walivyo wa palestna ni waarabu, arabs are all same like other arabs as westerns are all the same. Kama mlibya treats a black person like trash hata mpalestna will do the same


You are wrong. LIBYANS ARE AFRICANS AND NOT ARABS. Rangi ya mtu haina uhusiano na utaifa au ni wa Bara gani.
 
Umenishangaza na analogy isiyo na mshiko. Kwa maana yako ukimbizi wa wapalestina ulioassisiwa na Israel, USA, na UK una uhalali kuliko holocaust?

Palestines are invented people and/or State. As of to date, there are no archeological and/or other impeccable evidences that has been found and are conspicuous linking the Palestines to the Land where Israel is.
 
Back
Top Bottom