Mkuu unashindwa kutofautisha Zionist walipokuja 47 na wayahudi in General. Hapo Palestine Kuna wayahudi maelfu ya miaka.
View attachment 2245483
Coin ya Palestine 1927 imeandikwa Kiarabu na Hebrew
Hawa ambao wapo sasa wengi ni mazionist ni kundi ndani ya Wayahudi na hawarepresent wayahudi wote. Hawa ndio wanaua watu na kufanya maovu ya kila aina.
Why waiache Nchi yao kwa Kundi la kihuni ambalo lina malengo tofauti?
Ka some maandiko Yao hao mazionist utaelewa kwanini Palestine wame resist. Na sio Palestine tu Hata wewe mtu Mweusi unatakiwa ukae nao mbali Maana according to Rabbi Mkuu wa Israel Mu Africa hawezi Soma Torrah, ni Nyani, anatakiwa Awe mtumwa etc.