Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,551
- 10,798
Mkuu weka hapa huo ushahidi wako.Kwamba sayansi ni propaganda? Dna haisemi ukweli?
Kwamba waarabu na wayahudi waliotoka baba mmoja wengine hafla wamekuwa blondes na green eyes na majina ya Ulaya?
Wayahudi wengi wa sasa wameshachakachua damu sana na wa ulaya vinasaba vyote vya kiyahudi vimepotea. Wapalestina waliobaki pale kwa miaka na miaka ndio wana vinasaba vingi vya wayahudi wa zamani. Si maneno yangu bali tafiti mbalimbali za kisayansi duniani.