Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,768
- 49,934
Waziri wa Ulinzi wa Israel ametangaza kuwa Israel itatumia nguvu zote za kijeshi na kiraia kuwalazimisha Hamas kuwaachilia mateka inaowashikilia.
Waziri huyo wa Ulinzi wa Israel ameliagiza jeshi la Israel kuteka ardhi zaidi ya Wapalestina, mpaka hapo Hamas watakapowaachilia mateka. Waziri Katz ameeleza kuwa kadiri Hamas watakavyozidi kugomea kuachilia mateka ndivyo Israel itakavyozidi kuyachukua maeneo ya wapalestina na kuyarasimisha kuwa ardhi ya Israel moja kwa moja.
“I have instructed the IDF to seize additional areas in Gaza, evacuate the population, and expand security zones around Gaza to protect Israeli communities and IDF soldiers,” Defense Minister Israel Katz said. “The more Hamas persists in its refusal to release the hostages, the more territory it will lose, which will be annexed to Israel.” Katz also warned that Israeli forces would intensify air, land, and sea attacks if the militant group does not cooperate.
Hamas said on Friday that truce negotiations are ongoing. According to senior Hamas official Husam Badran, the militant group may be willing to show some flexibility in a cease-fire deal—including by releasing more hostages—if doing so would restart talks intended to permanently end the war. Israel, however, remains opposed to any agreement that allows Hamas to remain in control of Gaza.
Uharamia uliofanywa na Hamas Oct 7, utabakia kwenye historia kwa miaka mingi maana utatajwa kama sababu ya kufutika kwa Palestina.
Bahati mbaya, waarabu wa Palestina bawajawahi kuwa na busara wala tafakari ya kihekima:
Mwaka 1948 waarabu waliwavamia waisrael, wakapigwa vibaya, Israel ikachukua 60% ya ile 44% ya enwo walilopewa na UN.
Mwaka 1967, waarabu waliwavamia Waisrael, wakapigwa vibaya, Israel ikachukua East Jerusalem.
Mwaka 1973 waarabu wakawavamia tena waisrael, wakapigwa tena, wakapoteza maeneo yote. Kwa njia ya mazunhumzo miaka 1990, Wapalestina wakafanikiwa kupata mamlaka ya ndani, na wakagawiwa. West Bank na Gaza.
Mwaka 2023, waarabu wakaanzisha vita tena, wameuawa kwa maelfu, na sasa wanaenda kuipoteza Gaza yote.
Yaani kila unapoanzisha vita unapoteza zaidi, lakini unaendelea na mbinu hiyo hiyo!! Kweli wewe utakuwa una akili timamu?
Waziri huyo wa Ulinzi wa Israel ameliagiza jeshi la Israel kuteka ardhi zaidi ya Wapalestina, mpaka hapo Hamas watakapowaachilia mateka. Waziri Katz ameeleza kuwa kadiri Hamas watakavyozidi kugomea kuachilia mateka ndivyo Israel itakavyozidi kuyachukua maeneo ya wapalestina na kuyarasimisha kuwa ardhi ya Israel moja kwa moja.
Israel Threatens to Annex Parts of Gaza if Hamas Doesn’t Release Hostag
Israel threatened on Friday to permanently seize parts of the Gaza Strip if Hamas does not release all remaining hostages, marking a major escalation in the conflict just days after airstrikes from the Israel Defense Forces (IDF) shattered a monthslong cease-fire with Hamas.“I have instructed the IDF to seize additional areas in Gaza, evacuate the population, and expand security zones around Gaza to protect Israeli communities and IDF soldiers,” Defense Minister Israel Katz said. “The more Hamas persists in its refusal to release the hostages, the more territory it will lose, which will be annexed to Israel.” Katz also warned that Israeli forces would intensify air, land, and sea attacks if the militant group does not cooperate.
Hamas said on Friday that truce negotiations are ongoing. According to senior Hamas official Husam Badran, the militant group may be willing to show some flexibility in a cease-fire deal—including by releasing more hostages—if doing so would restart talks intended to permanently end the war. Israel, however, remains opposed to any agreement that allows Hamas to remain in control of Gaza.
Uharamia uliofanywa na Hamas Oct 7, utabakia kwenye historia kwa miaka mingi maana utatajwa kama sababu ya kufutika kwa Palestina.
Bahati mbaya, waarabu wa Palestina bawajawahi kuwa na busara wala tafakari ya kihekima:
Mwaka 1948 waarabu waliwavamia waisrael, wakapigwa vibaya, Israel ikachukua 60% ya ile 44% ya enwo walilopewa na UN.
Mwaka 1967, waarabu waliwavamia Waisrael, wakapigwa vibaya, Israel ikachukua East Jerusalem.
Mwaka 1973 waarabu wakawavamia tena waisrael, wakapigwa tena, wakapoteza maeneo yote. Kwa njia ya mazunhumzo miaka 1990, Wapalestina wakafanikiwa kupata mamlaka ya ndani, na wakagawiwa. West Bank na Gaza.
Mwaka 2023, waarabu wakaanzisha vita tena, wameuawa kwa maelfu, na sasa wanaenda kuipoteza Gaza yote.
Yaani kila unapoanzisha vita unapoteza zaidi, lakini unaendelea na mbinu hiyo hiyo!! Kweli wewe utakuwa una akili timamu?