ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Mkuu hata Taleban inaungwa mkono na Russia lkn umewahi sikia US kaipiga Russia kisa inaunga mkono Taleban. Pia IS kuna wakati inaungwa mkono na US lkn sijawahi sikia Russia eti anamdunda US kisa anaunga mkono magaidi ila yeye anawaponda hao magaidi pekee na si anayewafadhili.Hahahaaa,,,,,,sasa hao hizbolah si ndio wanaungwa mkono na Iran kwanini asiipige tu irani moja kwa moja ili isiiunge mkono hizbolah