nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,335
- 8,116
km madege makubwa vile hayatunguliwi ndo itunguliwe risasiS200 na S300 pale syria zinatungua risasi tu
km madege makubwa vile hayatunguliwi ndo itunguliwe risasiS200 na S300 pale syria zinatungua risasi tu
mrusi bado anasoma mchezo mkuuWarusi pumbafu tu kila siku Mkwara askari wao wanauwawa hawafanyi lolote...Balozi wao hawafanyi lolote sasa watasaidia Syria kweli?? Jinha kabisa hawa
HahahahahahahaS200 na S300 pale syria zinatungua risasi tu
Hahahah... Et risasi
Apeleke mara ngapi wakati unasikia jana kaingia sebleni kachapa katembea....na hizo sijui mnasemaga s200 , s300 na s400 zote zipo na hazikuona mimi nashindwa kuelewa akili za voda zilipoishiaUrusi sio taifa LA kubezwa..... Israel apeleke ndege zake pale Damascus aone!
Kinachofurahisha na mapovu yote yale; myahudi anaingia, anachapa, na kujiondokea zake utafikiri anaingia chooni.Puttin anazidi zaraulika sasa iyo ndege hawakuiona hadi ishambulie? naaza kuamini russia hana lolote ni mikwara tuu kama kiduku.
Makomunisti kwa propaganda huyawezi Mkuu. Yanaweza kupiga propaganda kuaminisha watu kwamba Jua linachomozeaga Kusini. They never accept the reality easily ila uongo wao ndio uaminiwe na watu.Apeleke mara ngapi wakati unasikia jana kaingia sebleni kachapa katembea....na hizo sijui mnasemaga s200 , s300 na s400 zote zipo na hazikuona mimi nashindwa kuelewa akili za voda zilipoishia
Kwani zile Radar za Syria hazifanyi kazi hadi F 15 ziruke na kupiga tanks?
Haiwezi kuishambulia nchi yeyote mkuu anabagua anaweza kuishambulia Urusi,China,Uingereza,Usa??Israel ni nchi yenye kiburi sana hamna nchi yoyote inayo dhubutu kuiambia kitu israel...
Israel inaweza kuishambulia nchi yoyote na umoja wa mataifa ukapiga kimya...
Hapo Russia atapiga makelele na maisha yanaendelea
Dah! Mkuu umenikumbusha mbali sana; yule mtoto akili kubwa Daudi alivyopasua fuvu la jitu kubwa akili kiduchu Goliath; dah! ha ha ha! Anyway, statement fupi ya PM Netanyahu kuhusiana na hiyo kitu hii hapa:Na hapa waisrael Wana kitu kipya kinaitwa David 's Sling (kombeo la David)
Imani yao ya dini haina kusamehe, wao ni jino kwa jino tu
God bless Israel
Duh umetishaMkuu unaamini usanii wa Putin
Warusi ni wababe kwenye youtube tu
Israel haishambulii; ni taifa la amani sana; ila ukimjaribu majibu yake utayapata sawia tena bila kukawia. Kote huko anakopiga Syria ni baada ya ama Syria au vibaraka wake, Hizbollah, et. al. kurusha viroketi vyao uelekeo wa Israel. Soma post ya kwanza inajieleza vizuri kwanini Israel imeamua kupiga. Anamtamani sana Iran amrushie japo "kokoto" tushuhudie mapigano ya kisasa kabisa kuwahi kushuhudiwa duniani; atamfanyia "show" tamu hadi mtaipenda.Haiwezi kuishambulia nchi yeyote mkuu anabagua anaweza kuishambulia Urusi,China,Uingereza,Usa??
Tuambie Askari wangapi wa Urusi wameuwawa huko Syria na nani amewaua.Warusi pumbafu tu kila siku Mkwara askari wao wanauwawa hawafanyi lolote...Balozi wao hawafanyi lolote sasa watasaidia Syria kweli?? Jinha kabisa hawa
Kumbuka Msiri na mshauri mkuu wa Trump ni Muisrael...... hapo sawa na kusema Israel wapo Ikulu ya Marekani kwa mlango wa nyuma.Sana tu, labda watapatana na jeuri mwenzake Trump. Maana zilikuwa haziivi kabisa na Obama.
Hahahaaa,,,,,,sasa hao hizbolah si ndio wanaungwa mkono na Iran kwanini asiipige tu irani moja kwa moja ili isiiunge mkono hizbolahIsrael haishambulii; ni taifa la amani sana; ila ukimjaribu majibu yake utayapata sawia tena bila kukawia. Kote huko anakopiga Syria ni baada ya ama Syria au vibaraka wake, Hizbollah, et. al. kurusha viroketi vyao uelekeo wa Israel. Soma post ya kwanza inajieleza vizuri kwanini Israel imeamua kupiga. Anamtamani sana Iran amrushie japo "kokoto" tushuhudie mapigano ya kisasa kabisa kuwahi kushuhudiwa duniani; atamfanyia "show" tamu hadi mtaipenda.
Hapo hatakujibu na hata muuwaji hamjuiTuambie Askari wangapi wa Urusi wameuwawa huko Syria na nani amewaua.
Nasikia huu mtambo mmoja tu unaweza kuilinda Israel nzimaaa. Sasa sijui watatengeneza mingapi.Dah! Mkuu umenikumbusha mbali sana; yule mtoto akili kubwa Daudi alivyopasua fuvu la jitu kubwa akili kiduchu Goliath; dah! ha ha ha! Anyway, statement fupi ya PM Netanyahu kuhusiana na hiyo kitu hii hapa:
Source: Jerusalem Post - David's Sling comes online as latest component to Israel’s air defense shield
Netanyahu said the “cutting-edge technology” of David’s Sling will help protect Israel against its enemies.
“Whoever seeks to hit us will be hit. Whoever threatens our existence places himself in existential danger,” the prime minister said.
Israel will continue to follow in the footsteps of King David who protected the Jewish people 3,000 years ago, said Netanyahu.