Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,963
- 1,616
Dini ya ndevu na sendo ndo ipi mpaka iheshimiwe?Tuacheni udini jaman ..tafadhal.tuheshimu dini za wengine
Dini ya ndevu na sendo ndo ipi mpaka iheshimiwe?Tuacheni udini jaman ..tafadhal.tuheshimu dini za wengine
Hiyo ni lugha ya picha..naamin nimeeleweka nilichomaanisha .kujivika kuyokujua wakat unajua ni unafiki wa kiwango cha standard gauge..Dini ya ndevu na sendo ndo ipi mpaka iheshimiwe?
Hahahah... Thubutu.. Wakat Israel kashapokea F-35 anaifanyia majaribio tu ss hv. Ngoja aifunge software's zake km alivyofanya kwa F-16 na F-15 uone shughuli yake.
Yah... Toka kwa USAKapokea kwa US au?
Yah... Toka kwa USA
Naunga mkono hojaIsrael huwa haichokozi ila ikichokozwa madhara yake kwa adui huwa ni makubwa. Thamani ya myahudi mmoja ni makumi ya mafilisti na waarabu wenzie. Jamaa katulia kwake kwa upumbavu wenu mnampelekea maroketi mkipigwa mnaanza kulialia kutafuta huruma za kijinga.
Zile na F-22 Raptor haziuzwi. Tena Raptor US alimyima had Israel na Japan ili kulinda technology iliyotumika mle.Hivi US hawaizi zile B2 spirit zao? Na vpi zilishawahi kwenda kushambulia mahali? Maana nasikia ni danger.
Acha uoga.Hiyo ni lugha ya picha..naamin nimeeleweka nilichomaanisha .kujivika kuyokujua wakat unajua ni unafiki wa kiwango cha standard gauge..
Kama sio wababe mbona walipochukua Crimea waliufyata mkia NATO, ambayo ina nchi zaidi ya 20 pamoja na huyo mmarekani wao.Mkuu unaamini usanii wa Putin
Warusi ni wababe kwenye youtube tu
Ha ha haaaa. Ndege ya F-15 huwa hazionekani kwenye rada mpaka ziikaribie rada kwa umbali wa Kilometa Moja. Putin awe mpole tu hapo wanaume wamefanya yao. Teh tehPuttin anazidi zaraulika sasa iyo ndege hawakuiona hadi ishambulie? naaza kuamini russia hana lolote ni mikwara tuu kama kiduku.
Usitake kuhamisha mada jibu swali huko hii ni dalili ya kuishiwa hoja unatafuta counterattack! Mattis alisha waambia katika serious war hakuna nchi inaweza kupigana na US in 2min.Kama sio wababe mbona walipochukua Crimea waliufyata mkia NATO, ambayo ina nchi zaidi ya 20 pamoja na huyo mmarekani wao.
waliishia kuweka vikwazo tehe,,,,,,,Kama sio wababe mbona walipochukua Crimea waliufyata mkia NATO, ambayo ina nchi zaidi ya 20 pamoja na huyo mmarekani wao.
Bwege ni mbunge wa kilwa.Sioni umuhimu wa kutukana mtu kwa uzi ambao ni free mind..nilichochangia kama hakikufai .changia kinachokufaaa. Kurukiarukia watu utadinywa ...Acha uoga.
Kaa kwenye mstari bwege we
Israel na Marekani ndio wanaofadhili magaidi, kwa matukio haya naamini sasa kwa asilimia mia.Hii vita inazidi kuongezeka wanachama
we upo dunia gan mkuu?Urusi sio taifa LA kubezwa..... Israel apeleke ndege zake pale Damascus aone!
4 Russian servicemen killed in car blast in Syria – MoDTuambie Askari wangapi wa Urusi wameuwawa huko Syria na nani amewaua.
Ndo mchezo wako au?Bwege ni mbunge wa kilwa.Sioni umuhimu wa kutukana mtu kwa uzi ambao ni free mind..nilichochangia kama hakikufai .changia kinachokufaaa. Kurukiarukia watu utadinywa ...
Hahahah... Et risasi
Kama sio wababe mbona walipochukua Crimea waliufyata mkia NATO, ambayo ina nchi zaidi ya 20 pamoja na huyo mmarekani wao.