digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,406
- 22,969
Lakini Israel haiko mashariki ya mbali,iko mashariki ya katiAdui no.1 wa amani ukanda Mashariki ya mbali ni Israel na anayempa kiburi ni Marekani
Lakini Israel haiko mashariki ya mbali,iko mashariki ya katiAdui no.1 wa amani ukanda Mashariki ya mbali ni Israel na anayempa kiburi ni Marekani
USA is more overrated in battle fields, niambie USA iliwahi kushinda vita gani Mkuu? Aaah...kumbe sipo kijiweni 🏃🤔Adui no.1 wa amani ukanda Mashariki ya mbali ni Israel na anayempa kiburi ni Marekani
So?wewe utawafanyaje?Adui no.1 wa amani ukanda Mashariki ya mbali ni Israel na anayempa kiburi ni Marekani
Ngumbaru hilo mkuuLakini Israel haiko mashariki ya mbali,iko mashariki ya kati
Kwanini upigane vita usiyoiweza?Adui no.1 wa amani ukanda Mashariki ya mbali ni Israel na anayempa kiburi ni Marekani
Tena Asia magharibi.Lakini Israel haiko mashariki ya mbali,iko mashariki ya kati
Make Tanzania Great Again "Mataga"Make Israel Great Again
Hivi Mataga walifia wapi wakiongozwa na Polepole na Bashite?Make Tanzania Great Again "Mataga"
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Kwamba kifo cha huyo mzee na lile gauni lake kinaweza kutendeka....
Wazo zuri sana, nadhani kujiamini kwa Israel kupita kiasi kunategemea walikokotoa vipi hesabu zao kabla ya na wakati husika wa vita, huenda muda huo wanatangaza wameshajiridhisha kwa kiasi kikubwa movements zote za Ayatollah zitavyokuwa pakianzishwa vita japo pia huenda hesabu hizo zisifiti 100%.Hiyo strategy inaweza ku backfire.
Hata kama kuna raia wa Iran wanaomchukia Ayatollah, kitendo cha Israel kutaka kuhusika na kuuwawa kwake au kupinduliwa kwake kitawafanya raia washikamane zaidi maana kwao adui mkubwa zaidi ni Israel na si Ayatollah.
Israel needs to calm down. Just as they can assassinate the Iranian supreme leader, their leaders can be assassinated also.
Kiukweli sifahamu Mkuu, wanakuja kukupatia mwongozo Wakulungwa wenyewe wa siasa.Hivi Mataga walifia wapi wakiongozwa na Polepole na Bashite?
Bila Iran kuanzisha Hamas hezbullah na makundi mengine kupambana na Israel Palestine wangeishi kwa amani tuShida yenu mmacheza game ya kitoto,mnafadhiri makundi ya kigaidi na kuyapa hifadhi ili yampige Israel mkijifanya hamuhusiki,sasa kamalizana na Gaza/Palestina anapiga shoga yake Iran.
Msifikiri hawajui hayo.
Sio kweliAdui no.1 wa amani ukanda Mashariki ya mbali ni Israel na anayempa kiburi ni Marekani
Iliwahi kushindwa vita ipi?USA is more overrated in battle fields, niambie USA iliwahi kushinda vita gani Mkuu? Aaah...kumbe sipo kijiweni 🏃🤔
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Amewahi kushambulia wapi bila kuchokozwa?Adui no.1 wa amani ukanda Mashariki ya mbali ni Israel na anayempa kiburi ni Marekani
Hilo gauni kwa kulimia majarubani linafaa sanaDah Mimi lile gauni lake
Pale ni mashariki ya kati (middle east) halafu nipe na location ya ayatolah Mossad tunashida nayo😁Adui no.1 wa amani ukanda Mashariki ya mbali ni Israel na anayempa kiburi ni Marekani