chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,333
Maafisa wa jeshi la Israel wanasema kuwa wamewakamata tena wafungwa wa 2 wa kipalestina waliowahi kutoroka kwenye jela yenye ulinzi mkali ya Gilboa baada, ya utafutaji wa siku 14, kukamtwa tena kwa wafungwa hawa, kunakamilisha idadi yote ya wafungwa 6 kuingia mikononi mwa maafisa wajeshi la Israel baada ya wiki iliopita kutiwa mbaroni wafungwa 4.