Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Kwani ukijitoa Mimi napata faida Gani??mshtue mwenzako alianzisha uongo humu
Ninyi siku zote hamunaga hoja za kubishana na waisilamu linajulikana ilo mzehe. Refer mihadhara ya dini wakristu wenzio wanavyopata tabu utawaonea huruma mackini ya Mungu.
Ebuu Mfatirie prof mazinge ujionee wachungaji wenu wanavyohaha mpaka others wanasilimu+waumini wenu kwa kuuona ukweli.
Leteni mchungaji, askofu au padri yoyote duniani atawekwa chini na Prof mazinge n.k.