Israel VS Gaza. Kosa dogo tu likifanyika kama halijapangwa nyumba ya pazia, tunaingia WWIII (Nuclear War)

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,596
15,393
Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
 
Mkuu sidhani kama China na Iran kupeleka hizo silaha basi kutajumuisha mvutano mkubwa baina ya nchi hizo mbili.

CHINA
Miezi michache ya nyuma, China ilipiga mkwara mzito wa kuivamia kijeshi Taiwan endapo aliyekuwa Spika wa Bungu sijui ni makamu wa Rais, anaitwa Peros akiingia ndani ya Taiwan basi China haitasita kuchukua maamuzi magumu.

Mwisho tukaona US ikapeleka kiongozi wake hapo Taiwan na mpaka sasa China hakuna ilichokifanya.


Sio rahisi China kufanya muujiza wowote ktk huu mzozo na hata hizo meli sidhani kama zitakuwa na impact kubwa sababu China kuitetea tu Taiwan ameshindwa, ndo akawe mkombozi Palestina?


IRAN
Hakuna unyama ambao Israel hajaufanya mpaka sasa ndani ya Palestine, kama angekuwa na la kufanya basi angeshafanya muda mrefu.

Wazir wa mambo ya nje sijui wa ulinzi yule, alipotaka atue Syria dakika tu Israel akalipua ule uwanja na Iran akaufyata, akakaa kimya.

- Binafsi sioni nchi ya Kiislamu ambayo ina ubavu wa kuingia 100% ktk huu mgogoro kama tunavyoona mataifa ya magharibi yanavyoingia Israel.
 
Inakadiriwa Israel kuwa tactila nuclear warhead 80, huku kwa Iran ikiwa ni 0.

Ni ngumu nchi za kiarabu kumgusa Israel, kitu kinaitwa Nuclear ni kipengele kingine unless uwe na guts kama za magharibi walivyomtuliza Putin na nuclear zake.
 
Mkuu sidhani kama China na Iran kupeleka hizo silaha basi kutajumuisha mvutano mkubwa baina ya nchi hizo mbili.

CHINA
Miezi michache ya nyuma, China ilipiga mkwara mzito wa kuivamia kijeshi Taiwan endapo aliyekuwa Spika wa Bungu sijui ni makamu wa Rais, anaitwa Peros akiingia ndani ya Taiwan basi China haitasita kuchukua maamuzi magumu.

Mwisho tukaona US ikapeleka kiongozi wake hapo Taiwan na mpaka sasa China hakuna ilichokifanya.


Sio rahisi China kufanya muujiza wowote ktk huu mzozo na hata hizo meli sidhani kama zitakuwa na impact kubwa sababu China kuitetea tu Taiwan ameshindwa, ndo akawe mkombozi Palestina?


IRAN
Hakuna unyama ambao Israel hajaufanya mpaka sasa ndani ya Palestine, kama angekuwa na la kufanya basi angeshafanya muda mrefu.

Wazir wa mambo ya nje sijui wa ulinzi yule, alipotaka atue Syria dakika tu Israel akalipua ule uwanja na Iran akaufyata, akakaa kimya.

- Binafsi sioni nchi ya Kiislamu ambayo ina ubavu wa kuingia 100% ktk huu mgogoro kama tunavyoona mataifa ya magharibi yanavyoingia Israel.
Inawezekana China analinda maslahi yake Uarabuni. Ila kuhusu taiwan hata mwezi haujapita zimeonekana lowbed zimebeba vifaru na vifaa vya kijeshi vingi uelekeo wa Taiwan kutokea kambi za kijechi china. Hadi sasa haijafahamika kusudi ni nini.
Iran baada ya hilo tukio hawajaogopa ndio wamehamishia ndege yao ya mizigo katika uwanja wa russian airforce. Sasa hapo IDF wanatakiwa walipue na hiyo Runway ya RDF.
 
JUST IN: China has reportedly deployed multiple warships to the Middle East region after the United States deployed two carrier strike groups.Up to 6 Chinese warships were reportedly deployed including two advanced 052D destroyers.The news comes as the United States has prepared to deploy more troops to the region. The exact number is currently unknown."I will continue to assess our force posture requirements in the region and consider deploying additional capabilities as necessary," said Secretary of Defense Lloyd Austin.
 
Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
Ni maandiko tuu yakitimia
Maana biblia ilisema Armageddon itapiganwa kanaani(gaza)
Mfalme wa kaskazini na babeli mpya mama wa machafuko ya dunia
 
Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
Ajabu marekani na uingereza wanaitaka sana hii vita kuliko amani, wana ajenda zao
 
60yrs ya uhuru why Singida bado ni mkoa masikini sana, tuna mengi on our plate, watanzania lakini bado wanajua yanayotokea syria, Iran,Gaza,Israel, ingawa hawa kwenye social networks zao huwezi sikia au kusoma kuhusu Tanzania 🇹🇿
Mkuu hili ni jukwaa lakimataifa.
Sasa unataka tujadili mambo ya Singida huku. Mbona thread za kisiasa na kitaifa ndio zinaongoza jf nzima.

Pia huwezi kujifunza mambo ya kitaifa kama unapuuza ya kimataifa. Taifa litakuwa la kijinga.
 
Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
Tupe source ya habari,sijaiona popote iwe Aljazeera,cnn,bbc na kwingine!
 
Back
Top Bottom