kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,685
Mkuu mimi ni Mkristo safi kabsa,,tubadilishane mawazo kwa topic hiyo hapo.
...kasome na jifunze kutoka kwenye "Habari Njema Kwa Watu Wote / Agano Jipya"
...ukifuzu vizuri, rudi hapa jamvini...!
Mkuu mimi ni Mkristo safi kabsa,,tubadilishane mawazo kwa topic hiyo hapo.
Mkuu mimi ni Mkristo safi kabsa,,tubadilishane mawazo kwa topic hiyo hapo.
Eti Yesu Kristo alizaliwa Nazareth, watu wengine bana! Kwa nini mnapenda kuandika vitu msivyovifahamu?
...
Si tatizo lako! ...hujui unalotaka kueleza!
"copy & paste"
Jadili hoja! usimjadili mtoa hoja, alichokisema ndio ukweli wenyewe, wayahudi hawatambui Uungu wa yesu,wakimaliza kuwatwanga waislam watawageukia wakristo,
naona bado unachanganya..nazarethi ilikua ni kwao marry mamake yesu na ndiko alipatia mimba ,ila kumzaa yesu alimzalia bethelehemu walikua wameenda kwenye sensa yeye na mmewe joseph.Ni kweli Mkuu Yesu alizaliwa Bethelemu, Judea ya Galilaya ambayo ilikuwa Nazareth kipindi hicho ndo maana wameandika Nazareth is the home town of Jesus Christ.
Exactly!..... Ni pepo linalotaka kujenga chuki dhidi ya Israel kwa vile linajua Mwokozi wa Dunia katokea Taifa hilo! Lucifer ana mbinu nyingi sana! Anajifanya ana mapenzi na ukristo kumbe ni devil at work kupotosha wanadamu!
Mkoa ulikuwa Galilaya wala sio Nazareti. Ulichokisema wewe ni sawa na kusema rais alizaliwa kisarawe. Kisarawe na msoga vyote viko pwani ila si sahihi kusema kisarawe ni sawa na msoga. Narudia tena, tatizo ni kupenda kuongelea vitu msivyovielewa.Mkuu hii ni sawa na kusema Mh Rais amezaliwa Mkoa wa Pwani halafu mwingine akasema amezaliwa Msoga,,,its one and the same thing...kama huelewi seek clarification.
Mkuu mleta mada kwa fungu la kitabu cha Yohana 15:26 hapo ulikua Na maana gani?
lakini nazareth iko kaskazini mwa israel wakati bethelehem iko ukingo wa magharibi wa mto jordan(westbank)Mkuu hii ni sawa na kusema Mh Rais amezaliwa Mkoa wa Pwani halafu mwingine akasema amezaliwa Msoga,,,its one and the same thing...kama huelewi seek clarification.
...kasome na jifunze kutoka kwenye "Habari Njema Kwa Watu Wote / Agano Jipya"
...ukifuzu vizuri, rudi hapa jamvini...!
Biblia haipo kueleweka na watu wote kwa vipindi vyote.
Katika kipindi chochote cha muda hamna anayefudhu kuifahamu Biblia yote. Unachokifahamu msaidie na mwenzako.
Mkoa ulikuwa Galilaya wala sio Nazareti. Ulichokisema wewe ni sawa na kusema rais alizaliwa kisarawe. Kisarawe na msoga vyote viko pwani ila si sahihi kusema kisarawe ni sawa na msoga. Narudia tena, tatizo ni kupenda kuongelea vitu msivyovielewa.